06/23/2026
Oneni k**a pow,
Walikuta babu zenu hawana mafuta ya madukani ya viwandani wala maziwa ya kopo wakawa wanapika vyakula vyao kwa N**i na kunywa maji yake, wakawauliza mbona mnatumia N**i kwenye milo na vinywaji vyenu kila siku!
Oneni k**a pow,
Wazee wenu wa kiafrika wakajibu N**i kwenye mlo na miili yenu:
_ Husaidia kuongeza kinga ya mwili kupambana na bakteria na virusi
_ Kuzuia na kutibu matatizo ya mfumo wa kusaga chakula
-Kuzuia kukauka kwa ngozi na kuifanya ing'ae na kuwa laini
_Kuzuia uharibifu wa nywele na kuzifanya zikue kwa afya
- Kuzuia uchovu na kuupa mwili nguvu ya haraka (healthy fats)
-Kusaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini
-Kuzuia upungufu wa maji mwilini (maji ya dafu yana madini mengi)
-Kuchochea utendaji kazi mzuri wa ubongo na kumbukumbu
Oneni k**a pow,
Wazungu wakawauliza Tena, wazee wenu ipi tofauti ya N**i nayo wazee wenu wakajibu hivi:
1). N**i inayokunwa na kuachwa wazi juani au hewani hadi ikachacha, au yale mafuta ya n**i yaliyochanganywa na kemikali za viwandani ili yanukie vizuri, hiyo imepoteza nguvu zote za tiba na inakuwa sumu mwilini. Ila ile n**i mbichi inayotolewa kwenye ganda lake na kukuliwa hapo hapo, au mafuta safi ya n**i yaliyokamuliwa kienyeji bila kuchemshwa (Virgin Coconut Oil), hiyo ndio siri ya asili na ndio tiba iliyokamilika.
2). Tiba ya N**i sio tu kuleta ladha na unono kwenye chakula, bali mafuta yake (Lauric Acid) yanaponya na kusafisha kuta za matumbo na kuzuia vidonda vya tumbo. Ila kwa tafadhali sana, ukichemsha tui la n**i kwa moto mkali sana hadi likakatika na kutoa mafuta mazito yaliyoungua, hapo unaharibu virutubisho vyake vya asili na kubakiza mafuta mabaya, hivyo inatakiwa tui liwekwe mwishoni mwa mapishi au n**i itumiwe ikiwa mbichi ili isipoteze nguvu yake ya tiba.
Kwa msaada zaidi piga namba hii 0762 286 282 / DR WILLIAM CLINIC TANZANIA
------------------------------