Maridhawa Tech

Maridhawa Tech Sisi ni watengenezaji wa kompyuta, sambamba na kukuwekea operating system au antivirus kwa ajili ya

MATATIZO YA JOTO KWENYE KOMPYUTAleo ngoja tuangalie matatizo ya joto kuzidi kwenye vifaa vya kompyuta na dalili zake.  1...
03/12/2019

MATATIZO YA JOTO KWENYE KOMPYUTA

leo ngoja tuangalie matatizo ya joto kuzidi kwenye vifaa vya kompyuta na dalili zake.

1-PSU (power supply unit)

Dalili:
A- Kompyuta inawaka taratibu mno
B-kompyuta inaganda muda ambao inaloading os baada ya kuiwasha
C-makelele kwenye feni
D-kompyuta inawaka vizuri lakini kila kitu kinakuwa ni taratibu kuliko kawaida
E-Joto kubwa mno mbele ya PC

Sababu:
A: Feni la PSU halizunguki
B:Mzunguko wa feni ni mdogo kuliko kawaida
C:Feni linazunguka k**a kawaida ila PSU yote imejaa vumbi.

2-Processor

Dalili:
A-Kompyuta kuganda
B-kompyuta inarestart bila kutoa onyo lolote
C-kompyuta haianzi
D-kompyuta inaanza taratibu mno kwenye mchakato wa kuwaka

Sababu:
Upataji joto wa Processor ambao husababishwa na yafuatayo;
(i) kupata joto Thermal compound
(ii) Ufungaji mbaya wa cooling system
(iii) matatizo ya feni

3-RAM

Dalili:
A-Hakuna picha inayoruka kwenye kioo
B-Blue screen of death(kioo kuwa cha bluu chenye maandishi )
C-OS inaganda mno.
D-program zinafanya kazi taratibu mno
E-Kioo cheusi baada ya BIOS na POST

sababu:
A-Kupatwa joto kwenye RAM module

SOMO LITAENDELEA KWENYE SEHEMU ZINGINE ZA KOMPYUTA KUSHIKA JOTO

Ufunguaji wa laptop au kompyuta Ya kawaida , zingatia sana umekini wa vifaa. Ufikapo hatua ya kuachanisha cases za nje, ...
29/11/2019

Ufunguaji wa laptop au kompyuta Ya kawaida , zingatia sana umekini wa vifaa. Ufikapo hatua ya kuachanisha cases za nje, oli uweze kuona ndani. Hakikisha hutumii mikono wala nguvu, kuna kifaa bora kabisa kinachoitwa Tweezer, tumia hiko kufanya kazi hiyo.

Vinginevyo utaharibu cases na pia unaweza kupata matatizo na wateja waliyokupatia kazi zao uwafanyie

Ushawahi kujaribu kuweka windows kwenye flash halafu ikagoma kuboot kwenye PC, hadi watu wakakwambia mpaka uwe na progra...
28/11/2019

Ushawahi kujaribu kuweka windows kwenye flash halafu ikagoma kuboot kwenye PC, hadi watu wakakwambia mpaka uwe na program maalum ya kuifanya flash yako kuwa na uwezo wa kuboot.

Basi tunakupa suluhu ndogo, kuweza kuweka Windows kwenye flasg bila kutumia program na ikaboot ukaweka windows yako vizuri bila tabu.

Fanya yafuatayo:

1- Fungua sehemu yenye mafile ya Windows installation yaonekane k**a hapo kwenye picha.

2-Select all yakiwa hivyohivyo, kisha bonyeza right click na usend kwenye flash yako. Hakikisha unayatuma hivyohivyo, siyo uyakusanye kwenye folder moja ndiyo uyaweke, yanatakiwa yatawanyike k**a yalivyo.

3-Ikimaliza kusend, utaona icon ya flash yako imebadilika na kuwa ya Windows installation. Hapo tayari utakuwa umemaliza na unaweza kuitumia kuwekea windows bila tabu.

JARIBU NA ULETE MAJIBU

Ukisikia kitu kinaanzwa na neno DARK jua kinatumika kwa njia zisizo halali kabisa, hasa hapa duniani kulipojaa kila aina...
25/11/2019

Ukisikia kitu kinaanzwa na neno DARK jua kinatumika kwa njia zisizo halali kabisa, hasa hapa duniani kulipojaa kila aina ya shughuli.

Wale wa upande wa nguvu za giza, wana kitu kinaitwa DAR MAGIC. yaani utumiaji wa uchawi kwa lengo ovu. Ikiwemo kudhuru na kufanya ubaya mwingine wa aina yeyote.

Ndiyo ilivyo kwenye kuperuzi mtandaoni, kuna DARK WEB njia ya utumiaji mtandao kwa malengo yasiyo halali. Humo ndiyo kuna shughuli haramu za kila namna, ikiwemo mitandao ya uuzaji unga na hata Silaha haramu.

Watumuaji wa DARK WEB asilimia kubwa hupenda kutumia Web browser inayoitwa TOR(hiyo hapo pichani). Wakiwa na cover ya kuficha Ip address ili wasijulikane wapo wapi(VPN), maana hizi Ip address za kawaida ni rahisi kujulikana mahali ulipo.

Searcj engine zilizopo humo kwenye TOR ni zifuatazo:
1-Torch
2-Uncensored hideen Wiki
3-DuckDuck Go
4-Onion URL repository
5-Virtual library

TUNAKUFAHAMISHA TU UIJUE DUNIA YA MTANDAO LAKINI SI KUKUSHAWISHI UINGIE UPANDE HUO. NI HATARI KWA USALAMA WAKO.

©2019 Maridhawa_tech

Hii ni ya mwaka huu huu, ipo  nayo Ipo ni ×64 Windows 10 za aina zote zikiwa pamoja.  Tunakuwekea na kisha tunakufanyia ...
25/11/2019

Hii ni ya mwaka huu huu, ipo nayo Ipo ni ×64 Windows 10 za aina zote zikiwa pamoja. Tunakuwekea na kisha tunakufanyia update hadi ifikie toleo la Novemba hii, ni kwa bei nzuri. Popote ndani ya jiji la Tanga tunakuja.

Bei tutakayokuwekea inajumlisha uwekaji Microsoft office 2013/2016 sambamba na activation yake kabisa.

Pia ukihitaji MS office pekee tunakuwekea zipo 2007,2010,2013 na 2016. Ni kwa bei nafuu zaidi.

Tutumie SMS 0713776843 au 0762219759 na pia email [email protected] kote utatupata ukiwasiliana nasi.

KARIBUNI

Tukubali au tukatae huu ndiyo ukweli kabisa.  Wengi wetu tunatumia 4% ya intaneti yote, ambayo huitwa WORLD WIDE WEB kwa...
23/11/2019

Tukubali au tukatae huu ndiyo ukweli kabisa.

Wengi wetu tunatumia 4% ya intaneti yote, ambayo huitwa WORLD WIDE WEB kwa kifupi ni WWW ambayo ndiyo hii mara nyingi hupatikana kwenye search engine.
Yaani tunajiona tunatumia sans intaneti ila ukweli, tumegusa 4% tu ya mtandao wote.

90% ya intaneti yote huitwa DEEP web hii ndiyo ile haiwezi kupatikana kwenye search engine yeyote ikiwemo rasilimali za serikali, tafiti za kielimu, rekodi za kiafya na zingine nyingi.

6% iliyobaki huitwa DARK WEB, hii ndiyo intaneti iliyofichwa zaidi. Kuipata inahitaji program maalum, na pia mtumiaji wake anatakiwa kuwa kajificha asijulikane maana sehemu anazoenda kuna taarifa haramu za duniani. Humlazimu kutumia VPN na si Ip address ya kawaida, awe anatumia OS yenye kuweza kujilinda kimtandao.
DARK WEB hii huwa na Web browser zake, tofauti na hizi zingine zinazotumika kwenye WWW

Je ushawahi  kufungua activator hasa kwenye Windows 8,8.1 na 10 halafu ikashindwa kufanya kazi yske?  Iwe kuactivate Win...
22/11/2019

Je ushawahi kufungua activator hasa kwenye Windows 8,8.1 na 10 halafu ikashindwa kufanya kazi yske? Iwe kuactivate Windows au Microsoft office.

Je ushawahi kufungua Key gen za program mbalimbali ikashindwa kufanya kazi ukiwa na Windows 8,8.1 na 10?

Basi jua kinachofanya hivyo ni Windows defender, inayotoa ulinzi kwa kompyuta yako dhidi ya mashambulizi na uibiwaji data zako. Hivyo software tajwa hapo juu, na zote zenye kufanya na hizo. Hazielewani kabisa na hiyo App, ndiyo maana hutokea hivyo.

Unapoziweka kwenye kompyuta ili uzitumie, huleta tahadhari kisha program yako inaliwa yote yanabaki mafaili yake. Au inazuiwa isitumike kwenye kompyuta yako, kila ukijaribu kufungua inakuja error.

Suluhu ya jambo hili, hakikisha unazuia Windows defender kufanya kazi muda ambao unataka kutumia program tajwa hapo juu. Ukimaliza kazi yako, unamruhusu aendelee kufanya kazi k**a kawaida.

Je Wajua? Microsoft windows ya kwanza duniani ilikuwa ni Windows 1.0 ambayo iliachiwa mwaka 1985 na kampuni ya Microsoft...
21/11/2019

Je Wajua?

Microsoft windows ya kwanza duniani ilikuwa ni Windows 1.0 ambayo iliachiwa mwaka 1985 na kampuni ya Microsoft chini ya Bil Gates. Windows hii minimum requirements ya RAM ilikuwa ikitaka 512kb pekee, ambapo ilikuwa na matumizi makubwa ya mouse zaidi.

Mfumo wa User interface ilitumika GUI yaani Graphical User Interface.

Miaja 30 baadaye yaani mwaka 2015 kampuni hiyo kwa mara ya kwanza iliachia Windows 10 ambayo ni moja ya operating system bora. Na pia ndiyo toleo la sasa la Windows, hakuna Windows inayofuatia kaa hivi sasa.

Operating systems za windows huwa haziwekwo kiholela, kuna minimum requirements kwa ajili ua PC kuwekwa aina fulani ya w...
21/11/2019

Operating systems za windows huwa haziwekwo kiholela, kuna minimum requirements kwa ajili ua PC kuwekwa aina fulani ya windows, k**a yakiwa ni chini ya requirements zake. Basi mashine hiyo haiwezi kukubali Windows hiyo.

Zingatia uwekaji Windows iwe ya ×64Bit au ×32(×86) bit linganisha requirements za PC yenyewe k**a zinawiana na OS unayotaka kuiweka

ZINGATIA

Zijue aina za keyboard za kompyuta ambazo zimetawala kwa watumiaji wengi. Kuna US keyboard na UK keyboard, k**a hapo kwe...
20/11/2019

Zijue aina za keyboard za kompyuta ambazo zimetawala kwa watumiaji wengi.

Kuna US keyboard na UK keyboard, k**a hapo kwenye picha inavyoonesha tofauti baina ya keyboard mbili. Ya juu ni US na ya chini ni UK.

Hivyo unapoweka WINDOWS kwenye kompyuta zingatia hicho kitu, mwanzoni kabisa kuna option ya kuchagua aina ya Keyboard, uangalie layout yake kwanza ndiyo uchague. Usije ukawa Keyboard yako inaonesha ni US kwenye Windows installation ukaweka UK

Zifahamu shortcut za keyboard ya kompyuta Windows Key,(Hii ni button ambayo ukiibonyeza start menu inafunguka)+ R:   kuf...
19/11/2019

Zifahamu shortcut za keyboard ya kompyuta

Windows Key,(Hii ni button ambayo ukiibonyeza start menu inafunguka)+ R: kufungua Run menu.

Windows Key + E: kufungua Explorer.

Alt + Tab: Switch between open programs.

Windows Key + Up Arrow: Maximize current window.

Ctrl + Shift + Esc: kufungua Task Manager.

Windows Key + Break: Opens system properties.

Windows Key + F: Opens search for files and folders.

Windows Key + D: Hide/display the desktop.

Alt + Esc: Switch between programs in order they were opened.

Alt + Letter: Select menu item by underlined letter.

Ctrl + Esc: Open Start menu.

Ctrl + F4: Close active document (does not work with some applications).

Alt + F4: Quit active application or close current window.

Alt + Spacebar: Open menu for active program.

Ctrl + Left or Right Arrow: Move cursor forward or back one word.

Ctrl + Up or Down Arrow: Move cursor forward or back one paragraph.

F1: Open Help menu for active application.

Windows Key + M: Minimize all windows.

Shift + Windows Key + M: Restore windows that were minimized with previous keystroke.

Windows + F1: Open Windows Help and Support.
Windows + Tab: Open Task view.

Windows + Break: Open the System Properties dialog box.
Hold Right SHIFT key for eight seconds: Switch FilterKeys on and off.

Left Alt + Left Shift + Print Screen: Switch High Contrast on and off.

Left Alt + Left Shift + Num Lock: Switch Mouse keys on and off.

Press Shift five times: Switch Sticky keys on and off.
Hold Num Lock for five seconds: Switch Toggle keys on and off.

UTUNZAJI WA BETRI YA LAPTOP YAKO K**A HUTAKI KUITUMIA KWA MUDA MREFU.  1- hakikisha unaihifadhi ikiwa haijajaa chaji2-Ha...
19/11/2019

UTUNZAJI WA BETRI YA LAPTOP YAKO K**A HUTAKI KUITUMIA KWA MUDA MREFU.

1- hakikisha unaihifadhi ikiwa haijajaa chaji

2-Hakikisha unaihifadhi ikiwa siyo tupu kabisa

3-Usiiweke mahali kwenye joto kubwa

4-Usiiweke kwenye laptop ikagusana na terminal zake.

5-Unapokuja kuitumia hakikisha unaishtua kwanza, ndiyo uanze nayo kazi

6-Ihifadhi mahala pakavu

Address

Tanga
21201

Telephone

+255762219759

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maridhawa Tech posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Maridhawa Tech:

Share