Absolute Solutions Ltd

Absolute Solutions Ltd Absolute Solutions Limited is a professional IT company,providing fully customized solutions to help

Kufanyakazi k**a timu kunaongeza ufanisi na ubora wakazi, hivyo upelekea mteja kupata kilicho bora.Absolute solutions ni...
10/02/2020

Kufanyakazi k**a timu kunaongeza ufanisi na ubora wakazi, hivyo upelekea mteja kupata kilicho bora.

Absolute solutions ni utamaduni wetu kufanya kazi k**a timu.

Jumapili njema.


14/11/2019
 Internet ni nini?Internet ni muunaniko wa ma milioni ya mitandao(networks) kuanzia za watu binafsi, umma, shule, biasha...
04/11/2019


Internet ni nini?
Internet ni muunaniko wa ma milioni ya mitandao(networks) kuanzia za watu binafsi, umma, shule, biashara na serikali ambazo zinaumganishwa kwa waya ama bila waya(wireless). Internet inabeba taarifa nyingi mno na huduma.

Matumizi ya internet.
Internet inatumika kutafuta taarifa mbalimbali kwaajili ya utafiti au kuongeza elimu.Kuna wataalamu mbalimbali wanatumia internet kwaajili ya kufanya utafiti mfano madokta.

Faida za internet:
>Email:- email inatumika sana kwenye mawasiliano hasahasa yakibiashara na kiofisi. Imepunguza gharama za kutuma barua kwa njia ya makaratasi, email inawahi kufika sekunde tu tofauti na kutuma barua kwa njia ya posta.

>Masaa 24 siku 7 za wiki:- internet inapatikana muda wote, muda wowote unataka kutumia internet k**a unaweza kuifikia basi yenyewe ipo.

>Taarifa:- taarifa ni kitu kibwa internet inatoa, kuna taarifa nyingi mno mtandaoni karibia kila kitu unahitaji kukijua utakikuta kwenye internet. Hata k**a utahitaji kujua taarifa za jirani yako wenda ukazipata kwenye internet. Asante kwa google,yahoo,msn unaweza tafuta chochote.

>Kuchat mtandaoni:- asante kwa app k**a whatsapp,messenger,wechat n.k watu wanachat kutoka matafaifa mbalimbali papokwapapo bando lako tu.

>Huduma:- Unaweza kununua vitu kwenye internet, kukodi hotel, kutafuta kazi, kuomba mkopo na mitaji n.k.

>Jamii:- kuna majukwaa mbalimbali kwenye internet mfano jamiiforums watu wanaongea na kufundishana ishu mbalimbali.

>Ecommerce:- biashara sasa zinafanyikia mtandaoni, asante kwa mitandao k**a Amazon, Alibaba, Kikuu, Jumia, Ebay na mingine mingi unaweza kukunua chochote na kulipia bila kuonanana na muuzaji hata k**a yupo bara lingine.

>Burudani:- Mtandao k**a youtube unaweza kuangalia video za muziki, muvi, mahojiano, mafunzo n.k mitandao k**a spotify,boomplay n.k unaweza kustream miziki.Netflix unaweza kuangalia filamu na series mbalimbali.

>Software downloads:- Unaweza kudownload magemu, na software kibao kwaajili matumizi kibiashara au nyumbani, software k**a Tally, microsoftoffice, photoshop, n.k zote zinapatikana kwenye internet.

SOMO LA TATU: Litahusu MADHARA YA INTERNET...

Kwa huduma za IT karibu absolutesolutions tukuhudumie.
>website design and development
>kutengeneza mifumo ya kiofisi (software systems).
>Graphics design and logo designing.
>Ushauri na kuendesha akaunti za mitandao ya kijamii(social media)
>Computer maintenance and repair services(ufundi kompyuta)

Karibu inbox>>>>

Karibu Absolute solutions kwa huduma za kompyuta. Website designs for businesses  Computer maintenance and repair servic...
21/10/2019

Karibu Absolute solutions kwa huduma za kompyuta.
Website designs for businesses Computer maintenance and repair services Social media management and consultation Graphics design Software development

Karibu tukuhudumie

Kwenye ulimwengu wa sasa wa teknolojia ya habari, matumizi ya internet yamekuwa maarafu sana k**a sehemu ya kupata habar...
17/10/2019

Kwenye ulimwengu wa sasa wa teknolojia ya habari, matumizi ya internet yamekuwa maarafu sana k**a sehemu ya kupata habari na taarifa mbalimbali za kila nyanja utakayopenda. Watumiaji wakubwa wa internet Tanzania ni watoa huduma maofisini, wanafunzi wa chuo kutafuta materio mbalimbali, watafiti, madokta na wataalamu kwaajili ya kukuza ujuzi, na watumiaji wa mitandao ya kijamii.

Dunia ya sasa hivi kila mwenye kompyuta au smartphone anatumia internet kupata habari au taarifa kutoka World Wide Web (WWW) , kubadirishana meseji ,hati (dokomenti) na huduma.

MAMBO UTAKAYO JIFUNZA HAPA:
husikose kufuatilia somo hili la internet kwenye page yetu kila siku.
1. Kuelezea misamiati mbalimbali inayotumika kwenye internet.
2. Jinsi ya kutumia huduma mbalimbali zinazotolewa na internet.
3. Jinsi ya kutafuta taarifa ya kweli unayohitaji kwenye internet.
4. E-mail na namana ya kuitumia.
5. Kuelezea mchakato wa kudownload mafile mtandaoni.

"Karibu absolute solutions Mwanza kwa huduma za I.T( Information Technology)."

10/10/2019

"Tumia wataalamu wakompyuta kwaKuongeza mauzo na kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara ndogo na kubwa"

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Absolute Solutions Ltd posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share