13/02/2018
Hakuna mwanadamu aliye kamili kwa asilimia mia moja (100%) ila wapo wanadamu walio kamilika karibu ya asilimia 100 nao ni WANAO WASIKILIZA WAZAZI WAO.
Mzazi utambua kipi mwanae amepungukiwa hivyo ujitahidi kufanya vyovyote vile ili mwanae ukamilike.Mfano k**a wewe ulikamilika kwa asilimia 56 kisha yeye/wao wana asilimia 63.....watajitahidi kupunguza asilimia zao (kimawazo au kifedha) ili wewe ukamilike.
Na k**a wakikushauri usikasirike au kuwasema kwa mabaya au ata kwa kusema mapungufu yao............ndio wao ni wapungufu lakini tambua wameona mapungufu yako hivyo wanataka kuyaziba kwa zile asilimia chache za ukamilifu wao ili wewe mtoto wao uwe kamili kwa asilimia nyingi.
HESHIMU WAZAZI
👉Happy Choose Day👫👫