06/12/2023
Solar 4G camera znapatikana kwa Tshs 250,000 tu
☆Camera maalum sana kwa mashambani, majumbani, site za ujenzi, kwenye biashara ,viwandani na sehemu zote zenye changamoto ya umeme
☆Hautohitaji kuwa na umeme eneo unaloweka kwan yenyewe inajitegemea inatumia solar charging
☆Ukishakuwa nayo hii tu pekeyke unakuwa umemaliza na inafanya kazi vzuri Hautohitaji routers, DVR, monitors zozote ili ifanye kazi
☆Unaweka line tu ya simu ili kupata mtandao kam unavyoweka kwnye simu yako siyo lazima had uwe na WIFI
☆ Ina motion sensor ambapo mtu akipita inakupa taarifa kwenye simu yako pia ina alarm ambapo mtu akipita inaweza ikalia eneo husika
☆Ina waterproof ip66 ambapo haisumbuliwi na mvua wala radi
☆ Ina njia mbili za mawasiliano itakayokufanya usikie maongezi ya pale ulipofunga camera na pia ukiongea watakusikia kuptia speaker zilizopo kwenye camera hizo
☆Usiku utaona vizuri kabisa tena rangi halisi siyo black and white
☆Ina Warranty ya mwaka mmoja
Karibu Mkv technical services kwa huduma bora na za kitaalam tunapatikana Kiluvya Madukani Dar es salaam wasiliana nasi kupitia 0715013321/0762341018