21/10/2024
Je wajua Vodacom wanatoa Router Bure kwa wafanyabiashara ili kukuza biashara zao wakiwa ndani ya kasi ya 5G, na bila kikomo?
Ipo hivi, tunatoa router yenye kasi ya 5G ambayo kwa mwezi mzima unatumia bila kikomo yani wewe ni kuserereka tu mwanzo mwisho na bila kupimiwa!
Utaratibu wa kujipatia router hizi upo hivi!
1. Unatakiwa kuwa na kitambulisho cha NIDA na Tin Number yako binafsi k**a unahitaji kwa matumizi ya nyumbani, k**a unaweka kwenye Biashara basi ni Tin Number ya Biashara na Leseni ya Biashara
2. Nitakukabidhi mkataba ambao utaujaza ambao wenyewe unafanya kazi kwa miaka 2
3. Kwa kuwa huduma hii inafanyiwa malipo mwisho wa mwezi (postpaid) utatakiwa kulipa Security Deposit ambayo hiyo inaenda kuwa pesa ya kukulinda endapo ikitokea kuna mwezi umepita na ukashindwa kulipia basi pesa ya Secuty Deposit itatumika kufidia yale matumizi ya mwezi uliyoshindwa kulipia. Gharama ya security deposity ni Mara mbili ya gharama ya malipo ya mwezi. mfano 30Mbps Security ni 240,000 na kila mwezi ni 120,000
Ukivikamilisha hivyo tu, basi unajipatia intaneti ya mwezi mzima bila kikomo, kazi yako ni kufanya malipo mwisho wa mwezi tu.
Kwa mawasiliano zaidi;
Tuwasiliane:
Tupo Mwenge, Jirani na Kituo cha Daladala cha Kwenda Tegeta
0745015421
[email protected]