19/04/2026
**WatuChurch Kazini..! 🚀**
Tunasonga mbele! Kesho tunazindua mfumo wa *Partners Management System* kwa *Disciples Fellowship Network*. Huu ni uthibitisho kuwa *WatuChurch* tunaweza kubadilisha game ya makanisa kidijitali.
**Kwanini WatuChurch? 🤔**
✅ **Washirika wote viganjani mwako:** Washirika wote unawaona kwa simu tu 📱
✅ **Sadaka kidijitali:** Sadaka, ahadi, na michango vinaingia wazi wazi bila usumbufu 💳✨
✅ **Ripoti live live:** Takwimu za huduma yako unazipata hapo hapo, sekunde tu ⏱️
✅ **ID za kidijitali:** Washirika wako wanakuwa na identity ya kisasa kabisa 🔐
📍 Mbezi Beach, Makonde
📅 19 Aprili 2026 | Saa 7 mchana – 12 jioni (13:00 – 18:00 HRS)
Hongera sana Mwalimu Sebastian Marondo na Anastazia Marondo 👏 kwa kuchagua teknolojia inayoinua kazi ya Mungu kwenda level nyingine.
**Badili mfumo wa huduma yako leo — usibaki nyuma! 🔥**