19/09/2024
🤝 na eGAZ tupo
Mkurugenzi wetu wa Kanda ya Zanzibar, Aziz Said Ali akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), Bwana Said Seif Said, katika hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa Pamoja wa Kidigitali kwa Serikali (SGES) uliofanyika leo .
📌Mr. Aziz Said Ali, alisema “Nina furaha kubwa kusimama mbele yenu leo katika siku hii muhimu tunapozindua rasmi Mfumo wa Pamoja wa Kidigitalikwa Serikali (SGES).Mfumo huu, unaojumuisha Bulk SMS, USSD, na Huduma za SMS , ni mwanzo wa mabadiliko ambayo yataboresha utawala na huduma kwa wananchi wa na pia Mfumo wa Pamoja wa Serikali unatoa njia kwa uvumbuzi wa baadaye katika huduma za (cloud services), uchambuzi wa data wa hali ya juu, na suluhisho zinazoendeshwa na akili mnemba (AI) ambazo zitaimarisha sana utoaji wa huduma za serikali na ushiriki wa wananchi.
📌Ushirikiano wetu na serikali ya na eGAZ utaendelea kufunguafursa mpya kwa e-commerce🛒, malipo ya kidijitali🧾, nakuimarisha usalama wa mtandaoni🛜.”