Vodacom Tanzania

Vodacom Tanzania Connecting Tanzania for a better future. Empowering people, businesses and communities through the power of connectivity

Vodacom is Tanzania's leading cellular network offering state-of-the-art communication services to more than 23 million customers.

Safari ya mafanikio ya kifedha huanza na maarifa. Jumamosi tulikuwa sehemu ya Kongamano la Elimu ya Kifedha, tukikutana ...
13/07/2026

Safari ya mafanikio ya kifedha huanza na maarifa.

Jumamosi tulikuwa sehemu ya Kongamano la Elimu ya Kifedha, tukikutana na watu mbali mbali na kushirikiana nao katika kujifunza namna ya kupanga, kuweka akiba na kuwekeza kwa ajili ya maisha bora ya kesho.

Kupitia huduma ya M-Wekeza, tumewapa nafasi ya kuanza safari yao ya uwekezaji kwa urahisi zaidi, moja kwa moja kupitia simu zao.

Hii ni mwanzo tu… endelea kufuatilia kurasa zetu kwa elimu zaidi na fursa mbalimbali zitakazokusaidia kufikia malengo yako ya kifedha.

13/07/2026

Mobile Shop yetu iko karibu zaidi yako! 🚐

Ipate ndani ya viwanja vya SabaSaba, karibu na banda la BRELA, au ukiiona ikizunguka jijini Dar, usisite kuitembelea.

Jipatie huduma zote za Vodacom pamoja na simu janja zenye ofa kabambe.

Karibu tukuhudumie!

Tuko live kutoka viwanja vya SabaSaba kupitia Azam TV, tukiwakaribisha Watanzania kujionea huduma, ofa kabambe na suluhi...
13/07/2026

Tuko live kutoka viwanja vya SabaSaba kupitia Azam TV, tukiwakaribisha Watanzania kujionea huduma, ofa kabambe na suluhisho za kidijitali zinazorahisisha maisha.

Kuanzia huduma kwa wateja, biashara, hadi M-Pesa—kila kitu kinakusubiri banda letu la washindi.

Karibu ujionee mwenyewe kwa nini Mtandao Supa ni Fahari ya Tanzania.

Tumepata heshima ya kumkaribisha Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro, katika banda letu...
13/07/2026

Tumepata heshima ya kumkaribisha Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro, katika banda letu la SabaSaba.

Tumepata fursa ya kumtembeza na kumtambulisha huduma pamoja na bidhaa mbalimbali zinazopatikana ndani ya banda letu.

Tunamshukuru kwa kututembelea na tunathamini muda aliotenga kuwa nasi.

Ni muda wa ku-upgrade. Leta laini yako banda la SabaSaba na ubadilishe kwenda 4G bure ili ufurahie speed ya ukweli.⁣⁣Kar...
13/07/2026

Ni muda wa ku-upgrade. Leta laini yako banda la SabaSaba na ubadilishe kwenda 4G bure ili ufurahie speed ya ukweli.⁣

Karibu Sabasaba tuunganike kwa kasi.⁣

Ni muda wa ku-upgrade.⁣⁣Leta laini yako banda la 77 na ubadilishe kwenda 4G bure ili ufurahie speed ya ukweli.⁣⁣Karibu S...
13/07/2026

Ni muda wa ku-upgrade.⁣

Leta laini yako banda la 77 na ubadilishe kwenda 4G bure ili ufurahie speed ya ukweli.⁣

Karibu Sabasaba tuunganike kwa kasi.⁣

Tunawashukuru kwa kuendelea kuwa nasi Tena na Tena⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣
13/07/2026

Tunawashukuru kwa kuendelea kuwa nasi Tena na Tena⁣⁣⁣⁣
⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣⁣

12/07/2026

Kupitia huduma ya Lipa Namba, wafanyabiashara wanaweza kupokea malipo kwa urahisi bila usumbufu wa kutafuta chenji, huku wateja wakilipa kwa haraka kwa kuskani tu QR Code.⁣

Karibu banda letu ujifunze zaidi kuhusu suluhisho hili la kidijitali linalorahisisha biashara kila siku. ⁣

Deal hii huwezi ku-scroll ukaipita ⁣⁣Kipotabo sasa ni TSh 75,000 tu!⁣Pitia banda letu la 77 ujipatie yako kabla hazijais...
12/07/2026

Deal hii huwezi ku-scroll ukaipita ⁣

Kipotabo sasa ni TSh 75,000 tu!⁣
Pitia banda letu la 77 ujipatie yako kabla hazijaisha.⁣

12/07/2026

Tumefurahi kumkaribisha Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom, Harriet Lwakatare, katika banda letu la SabaSaba.

Tumepata fursa ya kumwonesha huduma na bidhaa mbalimbali zinazopatikana bandani.

Na wewe usikose kupita banda letu la washindi ujionee huduma na ofa kabambe zinazokusubiri.

Address

Ursino Estate
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vodacom Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Vodacom Tanzania:

Shortcuts

Share