Halotel Tanzania

Halotel Tanzania Halotel Tanzania Bando: *148*66 #

Monday Motivation!Usiogope pressure ya kufanya mambo magumu. 🔥Mara nyingi, changamoto na pressure ndiyo hutujenga, hutuf...
17/08/2026

Monday Motivation!
Usiogope pressure ya kufanya mambo magumu. 🔥
Mara nyingi, changamoto na pressure ndiyo hutujenga, hutufundisha na kutupa ukomavu wa kukabiliana na maisha.

Endelea kusonga mbele, kila hatua unayopitia inakujenga kuwa bora zaidi.

👍 Follow • ❤️ Like • 💬 Comment • 🔄 Share







🤖📱 Miss Halo yupo kukuhudumia! Usisubiri foleni,  jihudumie mwenyewe kupitia Miss Halo na upate msaada kwa urahisi na ha...
16/08/2026

🤖📱 Miss Halo yupo kukuhudumia!

Usisubiri foleni, jihudumie mwenyewe kupitia Miss Halo na upate msaada kwa urahisi na haraka.

Huduma iko kiganjani mwako!
Halotel, Pamoja kwa Ubora. 🤝

Follow • Like • Comment • Share







Jiachie na Games ndani ya MyHalo! 🎮🔥Burudani iko kiganjani mwako! Pakua MyHalo App leo na ujiachie na games mbalimbali p...
15/08/2026

Jiachie na Games ndani ya MyHalo! 🎮🔥

Burudani iko kiganjani mwako!
Pakua MyHalo App leo na ujiachie na games mbalimbali popote ulipo. 🎮

MyHalo, Better Together.

Follow • Like •Comment •Share








Leo, 14 Agosti 2026, tumefurahia kupokea ugeni kutoka I&M Bank Tanzania, ukiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Bw. Zahid Mustaf...
14/08/2026

Leo, 14 Agosti 2026, tumefurahia kupokea ugeni kutoka I&M Bank Tanzania, ukiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Bw. Zahid Mustafa, pamoja na timu yake kwa kikao cha kibiashara kilichowakutanisha na Mkurugenzi Mkuu wa HaloPesa, Bw. Nghiem Anh Thong, pamoja na viongozi na wawakilishi kutoka taasisi zote mbili.

Kikao hiki kilitoa nafasi ya kujadili fursa mbalimbali za kibiashara, maeneo ya ushirikiano na mipango ya pamoja, kwa lengo la kuendeleza suluhisho bunifu na kuongeza thamani kwa wateja.

Tunaamini kuwa ushirikiano huu utafungua milango ya fursa mpya, kuchochea ubunifu na kuleta thamani zaidi kwa wateja wetu.





14/08/2026

😂😂 Pale unapoona kazi ngumu na kuamua kugundua kipaji kipya…

Halafu unagundua bora uendelee na kazi uliyonayo! 😂😭

Mtag rafiki yako ambaye hii imemkuta! 😂👇

Follow •Like • Comment • Share




Punguzo la 20% na HaloFiber! 🔥📶Lipia HaloFiber kwa miezi 12 na upate punguzo la 20%. Furahia internet ya kasi, uhakika n...
13/08/2026

Punguzo la 20% na HaloFiber! 🔥📶

Lipia HaloFiber kwa miezi 12 na upate punguzo la 20%.
Furahia internet ya kasi, uhakika na gharama nafuu zaidi — spidi ni mambo yetu!

📲 Jiunge na HaloFiber leo na uanze kufurahia spidi hadi mlangoni kwako!

👉 Tufuate , Halotel Tanzania kwa ofa, teknolojia, updates na mambo mapya yanayokuweka connected.

👍 Follow • ❤️ Like • 💬 Comment • 🔄 Share








12/08/2026

Mteja wetu, tunakujaliii… sana tu! ❤️🤣

Hatuwezi kukuona ukiteseka na mtandao wa kusuasua! 😭😂
Nunua Halotel 5G router leo, jiachie na spidi ya uhakika

Tembela Maduka Yetu kujipatia Router yako 🔥😂

Halotel 5G— spidi ni mambo yetu! ⚡

👍 Follow • ❤️ Like • 💬 Comment • 🔄 Share







Jipatie rafiki wa kudumu ndani ya MyHalo App!Usibaki mwenyewe! 😊 Pakua MyHalo App leo na ugundue fursa ya kupata rafiki ...
12/08/2026

Jipatie rafiki wa kudumu ndani ya MyHalo App!

Usibaki mwenyewe! 😊
Pakua MyHalo App leo na ugundue fursa ya kupata rafiki mpya wa kuwasiliana naye na kushirikiana naye. 🤝

📲 Pakua MyHalo App kupitia Play Store au App Store, kisha tembelea sehemu ya Dating.

MyHalo — Better Together. 💙

👍 Follow • ❤️ Like • 💬 Comment • 🔄 Share






Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:30
Tuesday 08:00 - 17:30
Wednesday 08:00 - 17:30
Thursday 08:00 - 17:30
Friday 08:00 - 17:30
Saturday 09:00 - 17:30
Sunday 09:00 - 17:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Halotel Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Halotel Tanzania:

Shortcuts

Share