AiGi systems company

AiGi systems company AiGi Systems is an ICT company. We develop systems for our clients. Our main expertise is on developing intelligent systems using machine learning.

Anza Muhula wa Pili wa Masomo kwa Ufanisi ukitumia Amelipa System! Je, daycare yako iko tayari kwa wanafunzi wapya wa mu...
09/04/2026

Anza Muhula wa Pili wa Masomo kwa Ufanisi ukitumia Amelipa System!

Je, daycare yako iko tayari kwa wanafunzi wapya wa muhula wa pili?
Huu ndio muda sahihi wa kuanza vizuri — kidigitali zaidi!

Tumia Amelipa System kusajili wanafunzi wapya, kusimamia ada, na kuwasiliana na wazazi kwa urahisi zaidi. Acha kutumia makaratasi mengi na kumbukumbu zisizo sahihi — boresha usimamizi wako kuanzia leo.

Kwa kutumia Amelipa System utaweza:
✅ Kusajili wanafunzi wapya wa muhula wa pili kwa haraka na urahisi
✅ Kufuatilia malipo ya ada kwa kila mzazi bila makosa
✅ Kutuma SMS za kuwakumbusha wazazi kulipa ada kwa wakati
✅ Kupunguza madeni mapema kwa kufuatilia malipo kwa karibu
✅ Kupata ripoti za mapato na matumizi kila mwezi
✅ Kutuma taarifa muhimu kwa wazazi wote kwa pamoja (Bulk SMS)

Anza muhula huu kwa mpangilio mzuri — mfumo ukitumika kila siku, kazi zako zinakuwa rahisi zaidi!

Gharama ni nafuu sana:
Mwanafunzi 1 = TZS 350 tu kwa mwezi

📲 Piga simu au WhatsApp: 0782 829 990

03/03/2026

ENDESHA DAYCARE YAKO KIDIGITALI NA

Je, unataka kusimamia Daycare yako kwa urahisi na ufanisi zaidi? Tuna suluhisho la kukusaidia!

Kwa utaweza:l kufanya yafuatayo:
✅ Kusajili wanafunzi na madarasa kwa haraka
✅ Kusimamia ada, michango, na matumizi kwa urahisi
✅ Kusimamia mapato na matumizi kwa ufanisi
✅ Kutuma taarifa za malipo kwa wazazi mara moja
✅ Kukumbusha madeni ya ada kwa wakati
✅ Kupata ripoti sahihi za kifedha
✅ Kutuma matangazo kwa wazazi kwa wingi (bulk SMS)

💰 Gharama nafuu: mwanafunzi 1 = Tsh 350/- kwa mwezi tu!

👉 Anza sasa na ufungue Daycare yako kwa mafanikio!
📲 Piga/WhatsApp: 0782 829 990 😊

Endelea kuisimamia Daycare yako kidigitali mwaka 2026 Je, tayari unatumia mfumo lakini bado hujautumia kikamilifu?Ni mud...
18/02/2026

Endelea kuisimamia Daycare yako kidigitali mwaka 2026

Je, tayari unatumia mfumo lakini bado hujautumia kikamilifu?
Ni muda wa kuendelea kutumia Amelipa System kusajili wanafunzi wapya na kuwakumbusha wazazi kulipa ada kwa wakati.
Usirudi kwenye makaratasi na kumbukumbu zisizo sahihi — boresha zaidi ufanisi wako!

Kwa kuendelea na Amelipa System utaweza:
✅ Kuendelea kusajili wanafunzi wapya na kupanga madarasa kwa urahisi
✅ Kufuatilia malipo ya kila mzazi kwa usahihi
✅ Kutuma sms za kuwakumbusha wazazi kulipa ada
✅ Kupunguza madeni kwa kukumbusha wazazi mapema
✅ Kupata ripoti za mapato na matumizi kila mwezi
✅ Kutuma matangazo na taarifa muhimu kwa wazazi wote kwa pamoja (Bulk SMS)

💡 Kumbuka: Mfumo ukitumika kila siku, unarahisisha kazi zako kila mwezi!

💰 Gharama ni nafuu sana:
Mwanafunzi 1 = TZS 350 tu kwa mwezi

👉 Endelea kutumia mfumo kikamilifu, ongeza usajili, punguza madeni.
📲 Piga simu au WhatsApp: 0782 829 990

Endelea kuisimamia daycare yako kidigitali mwaka 2026 Je, tayari unatumia mfumo lakini bado hujautumia kikamilifu?Ni mud...
18/02/2026

Endelea kuisimamia daycare yako kidigitali mwaka 2026

Je, tayari unatumia mfumo lakini bado hujautumia kikamilifu?
Ni muda wa kuendelea kutumia Amelipa System kusajili wanafunzi wapya na kuwakumbusha wazazi kulipa ada kwa wakati.
Usirudi kwenye makaratasi na kumbukumbu zisizo sahihi — boresha zaidi ufanisi wako!

Kwa kuendelea na Amelipa System utaweza:
✅ Kuendelea kusajili wanafunzi wapya na kupanga madarasa kwa urahisi
✅ Kufuatilia malipo ya kila mzazi kwa usahihi
✅ Kutuma sms za kuwakumbusha wazazi kulipa ada
✅ Kupunguza madeni kwa kukumbusha wazazi mapema
✅ Kupata ripoti za mapato na matumizi kila mwezi
✅ Kutuma matangazo na taarifa muhimu kwa wazazi wote kwa pamoja (Bulk SMS)

💡 Kumbuka: Mfumo ukitumika kila siku, unarahisisha kazi zako kila mwezi!

💰 Gharama ni nafuu sana:
Mwanafunzi 1 = TZS 350 tu kwa mwezi

👉 Endelea kutumia mfumo kikamilifu, ongeza usajili, punguza madeni.
📲 Piga simu au WhatsApp: 0782 829 990

January inaisha, je usajili wa wanafunzi na ada zako ziko sawa?Fanya haraka ukamilishe kila kitu kidigitali na   Je, tay...
25/01/2026

January inaisha, je usajili wa wanafunzi na ada zako ziko sawa?
Fanya haraka ukamilishe kila kitu kidigitali na

Je, tayari umekamilisha usajili wa wanafunzi wa January na kuwakumbusha wazazi kulipa ada? K**a bado, huu ndio muda sahihi wa kufanya hivyo kwa urahisi zaidi.

Kwa Amelipa Systems, utaweza:
✅ Kukamilisha usajili wa wanafunzi waliobaki kwa haraka
✅ Kufuatilia waliolipa na wasiolipa ada kwa urahisi
✅ Kuwakumbusha wazazi kulipa ada kwa SMS moja kwa moja
✅ Kutuma taarifa za malipo mara baada ya malipo kufanyika
✅ Kupata ripoti sahihi za ada na mapato ya shule
✅ Kutuma matangazo kwa wazazi wote kwa wakati mmoja (Bulk SMS)
✅ Kuweka kumbukumbu zote za wanafunzi na madarasa kidigitali

💰 Gharama nafuu: Mwanafunzi 1 = Tsh 350/- kwa mwezi tu!
👉 Usiache January iishe bila kuwa na mfumo mzuri wa usimamizi wa Daycare yako.

📲 Piga/WhatsApp: 0782 829 990 😊

Anza Mwaka 2026 kwa hatua mpya ya Kidigitali kwenye Daycare yako na  Je, uko tayari kuifanya Daycare yako iwe ya kisasa ...
12/01/2026

Anza Mwaka 2026 kwa hatua mpya ya Kidigitali kwenye Daycare yako na

Je, uko tayari kuifanya Daycare yako iwe ya kisasa zaidi mwaka 2026?
Huu ndio wakati wa kuacha makaratasi na kuhamia kwenye usimamizi wa kidigitali unaoleta urahisi, uwazi na ufanisi.

Kwa utaweza:
✅ Kusajili wanafunzi na madarasa kwa haraka na kwa mfumo
✅ Kusimamia ada, michango na matumizi yote kidigitali
✅ Kufuatilia mapato na matumizi kwa usahihi zaidi
✅ Kutuma taarifa za malipo kwa wazazi papo hapo
✅ Kukumbusha madeni ya ada kwa wakati bila usumbufu
✅ Kupata ripoti sahihi za kifedha muda wowote
✅ Kutuma matangazo kwa wazazi kwa wingi (Bulk SMS)

💰 Gharama nafuu sana: Mwanafunzi 1 = Tsh 350/- kwa mwezi tu!

🎯 Anza 2026 kidigitali.
🎯 Anza 2026 kitaalamu.
🎯 Anza 2026 na

📲 Piga/WhatsApp: 0782 829 990

FUNGUA DAYCARE YAKO KIDIGITALI NA   Je, unataka kusimamia Daycare yako kwa urahisi na ufanisi zaidi? Tuna suluhisho la k...
11/01/2026

FUNGUA DAYCARE YAKO KIDIGITALI NA

Je, unataka kusimamia Daycare yako kwa urahisi na ufanisi zaidi? Tuna suluhisho la kukusaidia!

Kwa _Amelipa Systems_, utaweza:
✅ Kusajili wanafunzi na madarasa kwa haraka
✅ Kusimamia ada, michango, na matumizi kwa urahisi
✅ Kusimamia mapato na matumizi kwa ufanisi
✅ Kutuma taarifa za malipo kwa wazazi mara moja
✅ Kukumbusha madeni ya ada kwa wakati
✅ Kupata ripoti sahihi za kifedha
✅ Kutuma matangazo kwa wazazi kwa wingi (bulk SMS)

💰 Gharama nafuu: mwanafunzi 1 = Tsh 350/- kwa mwezi tu!

👉 Anza sasa na ufungue Daycare yako kwa mafanikio!
📲 Piga/WhatsApp: 0782 829 990 😊

Anza 2025/2026 na Mfumo Bora wa Shule! Je, unataka kusimamia shule yako ya awali au daycare kwa urahisi zaidi?    ni sul...
02/01/2026

Anza 2025/2026 na Mfumo Bora wa Shule!

Je, unataka kusimamia shule yako ya awali au daycare kwa urahisi zaidi? ni suluhisho la kidigitali kwa ajili yako!

Kwa mfumo wetu, utaweza:
✅ Kusajili wanafunzi na madarasa kwa haraka
✅ Kusimamia ada, michango, na matumizi
✅ Kutuma taarifa za malipo kwa wazazi mara moja
✅ Kukumbusha madeni ya ada kwa wakati
✅ Kupata ripoti sahihi za kifedha
✅ Kutuma matangazo kwa wazazi kwa urahisi

💰 Ofa Maalum: mwanafunzi 1 = Tsh 350/- kwa mwezi tu!

📲 Jiunge nasi leo na ufanye 2026 kuwa mwaka wa kidigitali.

Piga/WhatsApp: 0782 829 990

Anza Mwaka Mpya 2026 Kidigitali zaidi na Daycare Yako!2026 inakuja—je, Daycare yako iko tayari kwa usimamizi wa kisasa n...
29/12/2025

Anza Mwaka Mpya 2026 Kidigitali zaidi na Daycare Yako!

2026 inakuja—je, Daycare yako iko tayari kwa usimamizi wa kisasa na wenye ufanisi?
Badilisha namna unavyosimamia ada na mawasiliano kwa kutumia mfumo wa kidijitali uliotengenezwa mahsusi kwa Daycare na Pre-schools yako.
Kwa Amelipa, utaanza mwaka mpya ukiwa na uwezo wa:
✅ Kusajili wanafunzi na madarasa kwa urahisi
✅ Kuweka na kusimamia aina zote za malipo (ada, michango n.k.)
✅ Kutuma taarifa ya malipo kwa mzazi papo hapo kwa sms
✅ Kukumbusha wazazi madeni ya ada kwa wakati kwa sms
✅ Kupata ripoti sahihi za mapato na matumizi
✅ Kutuma matangazo kwa wazazi wote kwa Bulk SMS

Anza 2026 kwa mpangilio, uwazi na muda zaidi wa kukuza daycare yako.
💰 Gharama nafuu kabisa:
📊 Mwanafunzi 1 kwa mwezi: TZS 350 tu
👉 Usianze mwaka mpya kwa mfumo wa zamani.
📲 Piga simu au WhatsApp sasa kwa maelezo zaidi: 0782 829 990

25/12/2025
Usimamizi wa ada na mawasiliano shuleni yako ya awali haujawahi kuwa rahisi zaidi! Leta ufanisi wa kidijitali shuleni mw...
03/10/2025

Usimamizi wa ada na mawasiliano shuleni yako ya awali haujawahi kuwa rahisi zaidi!
Leta ufanisi wa kidijitali shuleni mwako na – mfumo wa kisasa ulioboreshwa unaolenga mahitaji yako.

Tumia mfumo wetu uweze kufanikisha yafuatayo kwa urahisi kabisa:
✅Kusajili madarasa, na wanafunzi kwa haraka
✅Kuweka aina mbalimbali za malipo (Ada, michango, n.k.)
✅Kutuma taarifa moja kwa moja kwa mzazi anapolipa ada
✅Kumkumbusha mzazi kuhusu deni la ada kwa wakati
✅Kupata ripoti sahihi za mapato na matumizi kwa uwazi kamili
✅Kutuma matangazo (Bulk SMS) kwa wazazi kwa ufanisi

KWA Gharama NAFUU KABISA!
📊Mwanafunzi 1 kwa Mwezi: TZS 350 tu

👉 Usiache fursa inapita! Jiunge na shule nyingine tayari zilizoboresha usimamizi wao.
📲 Piga simu au WhatsApp sasa hivi kwa maelezo zaidi: 0782 829 990

Address

Goba-Kiwanjani
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AiGi systems company posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share