09/04/2026
Anza Muhula wa Pili wa Masomo kwa Ufanisi ukitumia Amelipa System!
Je, daycare yako iko tayari kwa wanafunzi wapya wa muhula wa pili?
Huu ndio muda sahihi wa kuanza vizuri — kidigitali zaidi!
Tumia Amelipa System kusajili wanafunzi wapya, kusimamia ada, na kuwasiliana na wazazi kwa urahisi zaidi. Acha kutumia makaratasi mengi na kumbukumbu zisizo sahihi — boresha usimamizi wako kuanzia leo.
Kwa kutumia Amelipa System utaweza:
✅ Kusajili wanafunzi wapya wa muhula wa pili kwa haraka na urahisi
✅ Kufuatilia malipo ya ada kwa kila mzazi bila makosa
✅ Kutuma SMS za kuwakumbusha wazazi kulipa ada kwa wakati
✅ Kupunguza madeni mapema kwa kufuatilia malipo kwa karibu
✅ Kupata ripoti za mapato na matumizi kila mwezi
✅ Kutuma taarifa muhimu kwa wazazi wote kwa pamoja (Bulk SMS)
Anza muhula huu kwa mpangilio mzuri — mfumo ukitumika kila siku, kazi zako zinakuwa rahisi zaidi!
Gharama ni nafuu sana:
Mwanafunzi 1 = TZS 350 tu kwa mwezi
📲 Piga simu au WhatsApp: 0782 829 990