Aa Research for Secure Computing ltd

Aa Research for Secure Computing ltd AARSC LTD is a home for Malware Analysis, Threat Hunting and Pen Testing.

https://youtu.be/iS_ZbcVvTUkUmewahi kutumiwa links kwa njia ya WhatsApp, Email, n.k? Unafahamu kwamba baadhi ya links hu...
17/10/2019

https://youtu.be/iS_ZbcVvTUk

Umewahi kutumiwa links kwa njia ya WhatsApp, Email, n.k? Unafahamu kwamba baadhi ya links huweza kuwa na virusi (malware) hatarishi? Fahamu namna tovuti zinavyokaguliwa kuchunguza k**a zina malware.

Katika utafiti tunaoendelea kufanya juu ya hali ya malware hapa nchini tunatumia nyenzo maalumu ambazo tumezifanyia customization hapa LTD. Nyenzo hiz...

https://youtu.be/iygv1Fz2HVg
10/09/2019

https://youtu.be/iygv1Fz2HVg

This is a preperatory video for our courses on GSM hacking. As part of lessons, we explain how networks can be hacked. However, something to note...

WiFi za bure (free WiFi) hutumiwa na wadukuzi kuingilia mawasiliano ya simu. Ni kwa namna gani wanadukua? Fuatilia video...
12/08/2019

WiFi za bure (free WiFi) hutumiwa na wadukuzi kuingilia mawasiliano ya simu. Ni kwa namna gani wanadukua? Fuatilia video hii. Ushauri wangu, usiunganishe simu yako kwenye WiFi usiyoijua, hasa zile za kwenye mahoteli, shopping mall na airports

Pamoja na faida tunayopata kupitia huduma za WiFi, tekinolojia hiyo inaweza kutumika kuingilia mawasiliano ya simu hasa k**a simu yako imejiunga kwenye Acces...

Hivi ndivyo spy apps zinavyosimikwa kwenye simu. App hii inaweza kuiba SMS, kufungua mic na hata kukupiga picha kwa siri
10/08/2019

Hivi ndivyo spy apps zinavyosimikwa kwenye simu. App hii inaweza kuiba SMS, kufungua mic na hata kukupiga picha kwa siri

Video hii inatufundisha namna ya kusimika spy apps kwenye simu kwa lengo la kufuatilia miendendo ya vijana wetu ili kusaidia katika malezi mema. Spy Apps zin...

Je, tunaweza kung'amua ujumbe wa WhatsApp uliofutwa na mtumaji? Siku hizi kumekuwa na tabia ya mtu kukutumia WhatsApp na...
08/08/2019

Je, tunaweza kung'amua ujumbe wa WhatsApp uliofutwa na mtumaji? Siku hizi kumekuwa na tabia ya mtu kukutumia WhatsApp na baadaye akafuta ghafla. Fuatilia video hii

WhatsApp ilianzisha huduma ya kufuta ujumbe uliomtumia mtu endapo utahisi umekosea au umetuma kwa bahati mbaya. Hata hivyo, kumekuwepo na Apps nyingi zinazow...

Karibuni wote. Piga simu 0652587093 kwa maelezo zaidi
30/07/2019

Karibuni wote. Piga simu 0652587093 kwa maelezo zaidi

USALAMA WA MAWASILIANO YA SIMU NA BARUA PEPE.Tarehe 02 August 2019 katika ukumbi wa COSTECH-Kijitonyama, Dar es Salaam k...
27/07/2019

USALAMA WA MAWASILIANO YA SIMU NA BARUA PEPE.

Tarehe 02 August 2019 katika ukumbi wa COSTECH-Kijitonyama, Dar es Salaam kutakuwa na workshop ya Usalama wa TEHAMA.
Wataalamu waliobobea katika tasnia ya udukuzi wenye maadili (Ethical Hackers) kutoka kampuni ya AA RESEARCH FOR SECURE COMPUTING wataeleza kwa kina na kwa vitendo (Practical) mbinu zinazotumiwa na wadukuzi kudukua mawasiliano.
Aidha washiriki watafundishwa njia bora za kujilinda (Mitigation Solutions).
Pamoja na mada hiyo kutakuwa na mada za Website Hacking and Mitigation Techniques, Threats Hunting na Cryptocurrencies (Bitcoin)
Gharama ya kushiriki workshop ni 180,000/= kwa kila Mtu.
Workshop itafanyika kuanzia Saa Tatu Asubuhi Mpaka Saa Kumi na Moja Jioni (09:00AM – 05:00PM)
Wasiliana nasi kwa Simu: 0652 587 093 | Barua Pepe: [email protected]

26/07/2019

Address

Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Aa Research for Secure Computing ltd posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share