12/05/2020
TESLA BIASHARA K**A KAWAIDA 💴 🚗
-
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha magari ya umeme duniani Tesla Elon Musk, anathubutu mamlaka ya kumk**ata baada ya kufungua tena kiwanda cha Tesla.
Musk alisema kiwanda hicho kitafunguliwa "dhidi ya sheria za Kaunti ya Alameda."
"Nitakuwa kwenye mstari na kila mtu mwingine," aliandika. "Mtu yeyote akik**atwa, ninaomba ni mimi tu."
Lakini atazingatia kanuni za afya za wafanyakazi wake.
Hii inatuonesha wafanyabiashara wapo tayari kujitolea kuendelea na kazi katika hichi kipinid cha covid-19
-
Pamoja tunaweza