Computertz

Computertz tunatengeneza computer pamoja na software na kuuza accessories

checkup,maintenance&repair,laptop/desktop,software upgrade&hardware upgrade,installation&accessories

Tenga muda wa kuzifanyia service computer zako iwe laptops ama desktop japo mara moja kila baada ya miezi mitatu ili kuz...
15/11/2023

Tenga muda wa kuzifanyia service computer zako iwe laptops ama desktop japo mara moja kila baada ya miezi mitatu ili kuziwezesha kudumu na kufanya kazi kwa ufanisi zaidi kwa mawasiliano zaidi unaweza tupigia.๐Ÿ‘‡

SIMU:0719365163

OFISI:SOKO LA MAGOMENI



Pia tunaweza kuja iwe ofisini kwako hama nyumbani.

11/11/2023
Tupo tayari kukuhudumia tunasema tupe kazi tukuonyeshe kazi computer maintenance&repair๐Ÿ‘‰๐Ÿ“ž0719365163Tunapatikana.SOKO LA ...
31/10/2023

Tupo tayari kukuhudumia tunasema tupe kazi tukuonyeshe kazi computer maintenance&repair๐Ÿ‘‰๐Ÿ“ž0719365163
Tunapatikana.SOKO LA MAGOMENI DSM

Moja ya sababu zinazopelekea computer yako kuwa nzito ni kwa sababu inatumia Hard drive disk(HDD) sasa hili uondokane na...
19/10/2023

Moja ya sababu zinazopelekea computer yako kuwa nzito ni kwa sababu inatumia Hard drive disk(HDD) sasa hili uondokane na tatizo ilo kwenye computer yako tunakushauri uweze kuweka Solid state drive(SSD) hii itaifanya computer yako kuwa na speed zaidi na utendaji kazi madhubuti pia ni imara na haifi kirahisi hivyo maamuzi ni yako ifanye computer yako iwe ni sehemu ya furaha pindi unapokuwa ukifanya kazi zako hamua sasa kutumia ssd...kwa maelezo zaidi unaweza kutupigia kupitia namba๐Ÿ‘‰๐Ÿ“ž0719365163



Yeeees we are open karibuni sana mjipatie service ya kurekebisha laptop na desktops zenu pia bila kusahau na vifaa vya c...
30/09/2023

Yeeees we are open karibuni sana mjipatie service ya kurekebisha laptop na desktops zenu pia bila kusahau na vifaa vya computer vinapatikana...tupo kwa ajili yenu

Tupigie:0719365163

Tunapatikana:SOKO LA MAGOMENI

TUITE TUJE ULIPO IWE OFISINI KWAKO AU NYUMBANI KWAKO.

Habari njema ndugu wateja Kwa mahitaji ya service ya laptop yako iwe upande wa software au hardware tupigie kupitia namb...
29/09/2023

Habari njema ndugu wateja Kwa mahitaji ya service ya laptop yako iwe upande wa software au hardware tupigie kupitia namba๐Ÿ‘‡

๐Ÿ“ž0719365163

Tunapatikana: SOKO LA MAGOMENI DSM

Tuite tutakufuata ulipo iwe ofisini kwako au nyumbani

Yeeees we are open karibuni sana mjipatie service ya kurekebisha laptop na desktops zenu pia bila kusahau na vifaa vya c...
13/09/2023

Yeeees we are open karibuni sana mjipatie service ya kurekebisha laptop na desktops zenu pia bila kusahau na vifaa vya computer

Tunawashukuru kwa kutuamini nasi tunawaahidi hatutawaangusha...Furahia huduma zetu kwa kuwa mteja wa Computer tz
12/09/2023

Tunawashukuru kwa kutuamini nasi tunawaahidi hatutawaangusha...

Furahia huduma zetu kwa kuwa mteja wa Computer tz

29/07/2023
Sasa rasmi tupo soko la magomeni floor ya pili chumba namba.75 karibuni sana huduma ziendelee
18/07/2023

Sasa rasmi tupo soko la magomeni floor ya pili chumba namba.75 karibuni sana huduma ziendelee

Computer tz tumehamia Magomeni Soko jipya floor ya pili fremu namba 75
14/07/2023

Computer tz tumehamia Magomeni Soko jipya floor ya pili fremu namba 75

Address

Soko La Magomeni, 2nd Floor Room No. 75
Dar Es Salaam
14102

Opening Hours

Monday 10:00 - 21:00
Tuesday 10:00 - 21:00
Wednesday 10:00 - 21:00
Thursday 10:00 - 21:00
Friday 10:00 - 12:00
14:00 - 21:00
Saturday 10:00 - 21:00
Sunday 10:00 - 21:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Computertz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share