04/08/2026
📶 TP-Link Omada Indoor Access Points – Wi-Fi Yenye Nguvu kwa Matumizi ya Ndani ya Majengo
Je, unahitaji Wi-Fi yenye kasi na coverage nzuri ndani ya nyumba, ofisi, shule, hoteli au biashara yako? TP-Link Omada Indoor Access Points zimeundwa mahsusi kwa matumizi ya ndani ya majengo (Indoor) ili kusambaza Wi-Fi yenye nguvu na imara katika kila kona.
Access Point hufanya kazi kwa kupokea internet kutoka kwenye Router au Switch, kisha huisambaza kupitia Wi-Fi kwa simu, laptop, TV, CCTV, POS na vifaa vingine vya wireless.
Tunazo modeli zifuatazo:
🔹 EAP110 – Inafaa kwa nyumba, maduka na ofisi ndogo. TSH 130,000
🔹 EAP225 – Dual Band AC1350, kasi kubwa na uwezo wa kuhudumia watumiaji wengi kwa wakati mmoja. TSH 170,000
🔹 EAP245 – Performance ya juu kwa ofisi, shule, migahawa na biashara. TSH 200,000
🔹 EAP610 – Wi-Fi 6 (AX1800), kasi zaidi, uwezo mkubwa na matumizi bora ya vifaa vingi kwa wakati mmoja. TSH 250,000
🔹 EAP650 – Wi-Fi 6 AX3000, coverage pana zaidi na performance ya kiwango cha biashara. TSH 300,000
✅ Faida zake:
✔ Imetengenezwa kwa matumizi ya ndani ya majengo (Indoor).
✔ Huongeza maeneo yenye signal dhaifu.
✔ Hutoa Wi-Fi yenye kasi na utulivu.
✔ Inahudumia watumiaji wengi kwa wakati mmoja.
✔ Inasaidia Seamless Roaming na usimamizi kupitia Omada Controller.
✔ Inafaa kwa nyumba, ofisi, shule, hoteli, hospitali na biashara mbalimbali.
📍 Tunapatikana Dar es Salaam.
📞 WhatsApp: 0656804462
TP-Link Omada Indoor Access Points – Suluhisho la Wi-Fi imara kwa kila kona ya jengo lako!