19/11/2021
Vijue Vitu Saba 7 vitakavyoleta mafanikio katika maisha yako.
Mwanzo wa kitu chochote katika maisha ya mwanadamu huanzia katika fikra na mawazo .
Hapo ndipo uhalisia wa mtu hutokea .mfano tabia, mwenendo, utendaji , uamuzi wake hutokea huko kwenye kufiki na kuwaza.
Sasa kitu Cha kwanza kabisa ambacho unatakiwa kubadili ili kufikia ndoto au mafanikio yako ni fikra na mtazamo wako,
Jambo la pili ni nidhamu ya muda. usicheze na muda, muda unapopita huwa haurudigi nyuma
Jambo la tatu na nidhamu ya pesa,
Jambo la nne ni nidhamu ya watu , bila watu ujue kuwa huwezi kufanikiwa , waheshimu watu , wapende watu, wajali watu.
Jambo la tano ni nidhamu ya kuthibiti moyo wako ukisoma mithali 4:23 inasema Linda Sana moyo wako maana ndiko ,ziliko chemi chemi ya uzima , wengi hatujajua shida ya mtu huwa inaanzia wapi, ni kwamba tatizo la mtu huwa inaanzia moyoni mwake mwenyewe , tatizo la mtu kukata tamaa kimaisha inaanzia moyoni tatizo la mtu kushidwa kujisia furaha inaanzia moyoni, tatizo la mtu kuwa na shauku ya kujitaji kufanikiwa linaanzia moyoni ndio maana hata biblia Inasema Linda Sana moyo wako maana hapo ndipo ziliko chemi chemi za uzima.
Usiruhusu moyo wako kuchafuka.
Kila wakati jaribu kufeel Mambo mazuri, ona mambo mazuri ndani yako na utaona jinsi maisha yako yatakavyobadilika hadi kufikia mafanikio yako uyapendayo
Nitaendeleea.
Karibu katika huduma hii ya darasa la hekima na ufahamu.