Upanga wa majini

  • Home
  • Upanga wa majini

Upanga wa majini Napatikana Zanzibar,Nawasaidia Watu Wote Wenye Magonjwa Ya Kichawi,Nuksi,Mikosi n.k.0774308316

Kuota ndoto za kutisha zenye vitisho katika maisha yako ni kuharibu afya yako,biashara zako,au kazi zako na mahusiano ya...
23/06/2024

Kuota ndoto za kutisha zenye vitisho katika maisha yako ni kuharibu afya yako,biashara zako,au kazi zako na mahusiano yako.Kumbuka ikiwa wewe hauoti ndoto yoyote ni kifungo kibaya ulichofungwa ili usiweze kujua jambo zuri au baya lipo mbele yako.Ikiwa unaota usiku na ikifika asubuhi ndoto uliyoota unaisahau pia ni kifungo cha kichawi kwako na kila utakachokifanya kinakuwa hakina mwisho wala manufaa yoyote.Vifungo vipo ana nyingi miongoni mwa hivyo kufungwa kiafya,kiuchumi na kimahusiano.next time ntakuja na ufafanuzi na elimu ya vifungo,usikose kunicheki kupitia whatsap no.0782 806264 utanishukuru🙏

  _NDOTO ZA KIFO AU UNAKUFAMiongoni mwa ndoto mbaya na za kutisha zenye kumletea wasiwasi mwingi mwenye kuota ni kuota u...
16/05/2023

_NDOTO ZA KIFO AU UNAKUFA
Miongoni mwa ndoto mbaya na za kutisha zenye kumletea wasiwasi mwingi mwenye kuota ni kuota upo makaburini unalia au unaitwa na sauti itokayo makaburini,pia wewe kuota umekufa na kufanyiwa shughuli zote anazofanyiwa maiti mfno:-kuvalishwa sanda,kuoshwa,kuingizwa kwenye jeneza,kuingizwa kaburini au kuzikwa,kufukiwa michanga ukiwa kaburini au ndani ya kisima. ,,,UADUI ambao unafanyiwa na watu washirikina wenye kukufanyia uchawi wa vifungo Ili usifanikiwe katika mambo yako kiafya,kiuchumi,ndoa na mahusiano kuvurugika .Vile ambavyo maiti huwa haina la kufanya basi nawe utakuwa ni k**a maiti tu hakuna kitu utakifanya na kufanikiwa.NITAFUTE KWA WHATSAPP NUMBERS 0782 806 264 AU 0748 487 974
NTAKUSAUDIA🙏

04/05/2023

Ukiwa una changamoto ya magonjwa ya kichawi,umerogwa,umefungwa mwili kwa kutiwa nuksi,mikosi na mabalaa basi usisite kunipigia kwa namba zangu za simu 0782 806 264.

Kuota unafukuzwa na nyoka au wanyama wakali mfano:-simba,chui,mbwa,paka,punda,panya,ngo`ombe n.k.Kuota au kuona usingizi...
27/08/2021

Kuota unafukuzwa na nyoka au wanyama wakali mfano:-simba,chui,mbwa,paka,punda,panya,ngo`ombe n.k.
Kuota au kuona usingizini kwako aina hiyo ya wanyama niliowataja hapo si dalili njema ktk maisha yako kiafya hata kiuchumi na kimaendeleo.
Hakika ya ndoto ni dira ya kila binaadam,ndoto ni muongozo wa wa kila mtu ktk maisha yake ya kila siku na kujua kila jambo ambalo litakufika.
Hakuna mtu ambaye haoti,ikitokea mtu haoti huyo amefungwa na washirikina na wachawi ili asijue kinachoendelea ktk maisha yake.
Wapo pia ambao hawakumbuki ndoto wanazoota usiku wanapokuwa usingizini hili pia ni tatizo.
Hata wale wanaota kisha ndoto inakatikia kati pasipo na kumalizika
Ama kwa hakika ndoto ni ufunguo ktk maisha yako unatakiwa uifungue ili ujue nini inakwambia
Ndoto ni k**a bahasha yenye barua ndani ikiwa hautoifungua na kuisoma kamwe hutojua kilichoandikwa.
Ndugu wanyama niliowataja hapo juu unapowaota ni kiashiria au dalili ya kuwa muotaji ana maadui wachawi washirikina ambao wanamfanyia uchawi au wanaroga ktk kazi zake,biashara,mahusiano yake au kumchezea afya yake kwa kumtia magonjwa sugu yasiyotibika wala kuonekana ktk vipimo vya kimaabara.
Nyoka ni ishara ya uadui na itategemea umemuota nyoka wa rangi aina gani na umemuota ktk mazingira gani?
Nipigie simu ktk namba 0782 806 264 uniulize juu ya ndoto yako nitakujibu.

Pete ya aina gani ambayo unaweza ukaivaa na kukuletea mvuto wa kibiashara,mapenzi,kupandishwa cheo kazini!?  Pete ya mvu...
15/04/2021

Pete ya aina gani ambayo unaweza ukaivaa na kukuletea mvuto wa kibiashara,mapenzi,kupandishwa cheo kazini!?
Pete ya mvuto?
Pete za majinni?
Ntakupa siri itokanayo na pete Yako ya bahati
Maajabu ya pete
Ukubwa na thamani ya pete
Ni lazima ujue ni aina gani ya pete inatakiwa uvae
Ni lazima ujue siri ya rangi ya kito cha pete
Unayotakiwa uvae

Address


Telephone

+255782806264

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Upanga wa majini posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share