Smartgrowthdiary Sgd

Smartgrowthdiary Sgd SGD is a mobile application, that tracks the growth of a child. It targets caregivers,follows the children's growth in real time.

it provides an individualized nutritional assessment of the child, and offers the tailor made nutritional advice.

29/07/2025
Every parent has that one moment that really tests them… What’s YOUR biggest parenting challenge? 🤔 Share your story bel...
19/05/2025

Every parent has that one moment that really tests them… What’s YOUR biggest parenting challenge? 🤔 Share your story below and let’s learn from each other! 💪✨

Kila mzazi anakutana na wakati mmoja mgumu sana… Changamoto yako kubwa ya uzazi ni ipi? 🤔 Shea hadithi yako hapa chini na tujifunze kwa pamoja! 💪✨


🥣 MLENDA – Mboga laini, lishe bora kwa afya njema!Mlenda (bamia au okra) ni mboga yenye utajiri wa virutubisho vinavyosa...
02/05/2025

🥣 MLENDA – Mboga laini, lishe bora kwa afya njema!

Mlenda (bamia au okra) ni mboga yenye utajiri wa virutubisho vinavyosaidia mwili katika njia nyingi. Iwe unapika kwa watu wazima au watoto, mlenda ni hazina ya lishe inayopaswa kupewa kipaumbele jikoni.

🌿 Faida za Mlenda:
✅ Huboresha mmeng’enyo wa chakula – huzuia kuvimbiwa na kuweka tumbo sawa
✅ Hudhibiti sukari ya damu – husaidia wenye kisukari
✅ Hushusha kolesteroli – hulinda afya ya moyo
✅ Huimarisha kinga ya mwili – kwa kuwa na vitamini C na antioxidants
✅ Huboresha ngozi na macho – kutokana na vitamini A na C
✅ Hutoa nguvu na huongeza hamu ya kula – hasa kwa watu waliopungua nguvu

👶🏽 Watoto wadogo wanaweza kula mlenda?
Ndiyo kabisa! Watoto walioanza kula vyakula (kuanzia miezi 6) wanaweza kupewa mlenda uliopikwa laini bila viungo vikali. Ni mboga nzuri kwa mmeng’enyo wa chakula na kusaidia kujenga kinga ya mwili. Anza kumpatia kwa kiasi kidogo, na hakikisha umepikwa vizuri kumrahisishia kumeza na kumeng’enya.

📝 Kumbuka: Ni vyema kumuona mtaalamu wa lishe au daktari k**a una mashaka kuhusu aina ya chakula kwa mtoto.

30/11/2020

Have you eaten your Fruits Today?

30/11/2020

Pakua app ya BetterYourHealth kutoka PlayStore Mapema!

Zijue faida za Kula ndizi;Ndizi ni Tunda linalofahamika kwa wingi wa virutubisho  na madini mengi zaidi k**a vile Potass...
21/10/2020

Zijue faida za Kula ndizi;
Ndizi ni Tunda linalofahamika kwa wingi wa virutubisho na madini mengi zaidi k**a vile Potassium, Vitamin C pamoja na Vitamini B6
Faida zake:
1. Ndizi mbivu ni chanzo kizuri cha Vitamini C , huweza kutoa
kiwango cha vitamini C Kinachohitajika kwa siku.
2. Huboresha afya ya moyo na kukukinga zaidi dhidi ya
ugonjwa wa kupooza inajulikana k**a Stroke.
3. Husaidia kuboresha afya ya Figo na kulifanya liweze kufanya kazi
vizuri.
4. Husaidia kukufanye kuhisi kushiba baada ya mlo, hii kwa watu
wa diet kukuepusha kula kula mara kwa mara.
5. Huthibiti kiwango cha sukari mwilini

6. Husaidia katika mfumo wa umeng'enywaji wa chakula na
kudhibiti tatizo la kupata choo kigumu kitaalamu k**a
constipation, hali hii huwapata watoto wadogo pamoja na watu
wazima

7. Huboresha na kuchangamsha akili na kukutoa katika msongo
wa mawazo
8. Huweza kusaidia katika swala zima la kupunguza uzito basi
tunda hili liliwe kwa kiasi kwa kuzingatia lishe bora.
Kuendele kupata ndondoo hizi juu ya faida za chakula ama matunda mbalimbali tufuatilie katika ukurasa wetu wa
Smart Growth Diary- SGD
Je ungependa kujua faida ya Chakula gani? Tujulishe kupitia comment hapa chini.

Awesome Post
07/10/2020

Awesome Post

Katika App ya ambayo inapatikana ,
Kila chakula unachokila kwa siku, itakusaidia kujua kiasi cha ya nishati na virutubisho unavyopata kutoka katika chakula husika.

Leo tutaona Faida za kutumia Nyanya;

1. Nyanya huboresha afya ya ngozi na Nywele
2. Husaidia kuboresha afya ya moyo
3. Huboresha afya kwa waliothirika na uvutaji wa sigara
4. Huboresha afya ya mifupa
5. Hulinda na kukinga mwili dhidi ya saratani
6. Hulinda na kuboresha seli za mwili zilizoharibika
7. Huboresha afya ya macho kwa kuwa ni chanzo kizuri cha
vitamin A
8. Huongeza na kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
9. Husaidia katika uthibiti wa kisukari
10. Huongeza na kuboresha kinga ya mwili.
11. Husaidia katika swala la kupunguza uzito

Angalizo 1:
Nyanya ikijumuishwa katika mlo wa siku basi iliwe kwa kiasi, ulaji wa nyanya uliopitiliza huweza kuleta madhara K**a kiungulia, na kuhara nk.

Angalizo 2:
Unashauriwa kula nyanya baada ya mlo hii ni kwasababu ya kiwango cha asidi iliyomo katika tunda ama kiungo hicho.

Heri ya wiki ya wateja Duniani🤩🤩

Kwa watumiaji wote wa mfumo wa Smartgrowthdiary Sgd, Tunapenda kuwatakia heri ya wiki ya wateja, Kwa pamoja tushirikiane...
07/10/2020

Kwa watumiaji wote wa mfumo wa Smartgrowthdiary Sgd, Tunapenda kuwatakia heri ya wiki ya wateja,

Kwa pamoja tushirikiane kuhamasisha na kuilinda afya ya mtoto kwa kuzingatia Lishe bora.

Kupakua app au mfumo wa Smartgrowthdiary Sgd tembelea ukurasa wa Smartgrowthdiary Sgd na Bonyeza Kitufe cha

Address

Mikocheni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Smartgrowthdiary Sgd posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Smartgrowthdiary Sgd:

Share