05/02/2025
Kuna kitu nahitaji kuzungumza na wafanyabiashara, iwe wanaofanya biashara kubwa au ndogo lakini wkaihusisha matumizi ya namba za simu na E-mail katika kupokea taarifa za kibiashara mara kwa mara.
K**a unatumia email yenye , , , unajihatarisha sana katika kutoa taarifa za biashara yako bila kujua kile unachokifanya.
Mfano, tufanye imetokea huwa unafanya biashara na Vodacom, Tigo (Yas), CRDB na taasisi nyingine yoyotr na ukawa na watu wanaojua kuwa unafanya biashara hiyo, wanawezq kutengeneza email k**a hii [email protected] na wakakutumia wakiomba uingie kwenye portal yao ili uingize password zako, kumbe inakuwa portal inayofanana na ya Vodacom na isiwe sahihi, ukajikuta umetoa siri zako kwa sababu wewe mwenyewe unaamini kuna uwezekano wa kuwa na email k**a hiyo, email k**a hizi zenye mara nyingi zinatumika na wanafunzi au watu binafsi sio kwa ajili ya baishara, hivyo ni muhimu kuwa na email ya biashara.
Email ya kibiashara inaweza kuwa k**a hii [email protected], [email protected], hivyo hata wewe ukiwa nayo huwezi kupokea ujumbe wowote wa hovyo ambao hata haujauomba kwa sababu hizi mara nyingi k**a zinatumwa kwako zinatumwa kwa sababu ya kukupa taarifa tu na sio kukuomba ufanye jambo la kihuni.
Usitumie email za gmail hata siku moja.
K**a unahitaji email hizi, "TECHSLIDE" inazitoa kwa TSH 130,000 kwa mwaka mzima. Au TSH 50,000 kwa mwezi wa kwanza kisha baada ya miezi 2 unalipia TSH 10,000 kila mwezi. Zinakuwa unlimited, yaani unapokea email bila kupangiwa k**a gmail na outlook.
Wasiliana nao kwa 0688669384. Ni rahisi sana na ipende biashara yako, usiichukulie poa.