Mboje Design

Mboje Design ni page inayojihusisha na ubunifu-design na michezo-jamii kwa ujumla

โˆš
30/01/2024

โˆš

30/01/2024
NIMEIKUTA SCHEMETUJIFUNZE KIDOGO JAMANI JUU YA WATU HAWA HAPA WATATU             (1)MJINGA:akimaliza darasa la saba anaa...
26/01/2024

NIMEIKUTA SCHEME

TUJIFUNZE KIDOGO JAMANI JUU YA WATU HAWA HAPA WATATU
(1)MJINGA:akimaliza darasa la saba anaanza biashara ya kuchoma mahindi halafu atauza miwa, atalima viazi huku akikatisha mkaa.
Baada ya miaka miwili mitatu ivi atafungua duka la nguo atasafiri kwenda Dar na kwingineko kufunga mzigo Kila hela atakayopata ataitunza kwa nidhamu kuu.
Wafanyabiashara wenzake watamshauri aende benki akachukue mkopo ili akuze biashara yake
Atakubali ataenda benki na watamuuliza tukikukopesha utafanyia nini mkopo huu
Mjinga atajieleza wazi kua akikopeshwa atapanua duka lake, atainunua nyumba aliyopanga fremu kwa ajili ya duka na atanunua fuso la kusomba mzigo wake kwani hela anayotumia kulipa kodi na kukodi mafuso ni mara nne ya hela ya kulipa mkopo.
Baada ya miaka miwili mjinga k**aliza deni na kachukua mkopo mwingine kanunua mabasi manne ya kwenda Dar Mbeya Songea na watu watasema ni mchawi kaua wazazi wake wakati wazazi wake walikufa wakiwa na umri wa miaka kati ya 80 - 98

(2)MJANJA WA MJINI
Huyu atapiga misheni town na kufanikiwa kuchukua mkopo mkubwa huku akiweka hati ya nyumba ya urithi k**a dhamana.... Akiishapata mkopo atanunua BMW X6 ya kupigia misele akitanua na michepuko na ataitisha bonge la pati kujipongeza kupata mkopo atatesa sana mjini kila kona .
Hela itakapokaribia kuisha atainvest kwenye biashara ya madini atauziwa vichupa akiambiwa almasi.Baada ya miaka miwili atafilisiwa na nyumba itapigwa mnada na atasema karogwa.

MSOMI SASA:Huyu atafanya kazi weee lakini hakuna savings kwani kila anachoingiza kina matumizi yake kisomi
Atakapochoka kuteswa mjini atachukua mkopo atanunua gari ya familia ataezeka nyumba yake atabaki na deni la kulipa mpaka amalize huku akiandamwa na barua za default.. Huyu hana wa kumlaumu ila ujuaji wake... Wakuu

Tumheshimu mjinga., Ana nidhamu ya hela na kipaji cha biashara... Kupata hela sio kazi bali kuitunza na kuiheshimu.

Nawatakia tafakuli njema wapendwa


24/01/2024

KOCHA KOCHA KOCHA NAKUITA MALATATU, WEWE MORROCO

24/01/2024

KWANI KUSOMEA UKOCHA INAHITAJI GARAMA GANI MAANA WANACHOKIWAFA HAWA SIKIELEW HAPA

21/01/2024

KICHWA CHA MPUUZI

AFCONFull TimeTunisia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ 0-1 ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฆ NamibiaWapi MAKOFI ya Mhindi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
16/01/2024

AFCON

Full Time
Tunisia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ 0-1 ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฆ Namibia

Wapi MAKOFI ya Mhindi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

๐—ž๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ถMamlaka ya anga nchini Kenya imeiruhusu kampuni ya ndege nchini Tanzania Air Tanzania kusafirisha mizi...
16/01/2024

๐—ž๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ถ

Mamlaka ya anga nchini Kenya imeiruhusu kampuni ya ndege nchini Tanzania Air Tanzania kusafirisha mizigo yake kutoka Kenya hadi mataifa mengine kuanzia tarehe 16 januari.

Hatua hii inajiri baada ya mamlaka ya anga nchini Tanzania kuizuia kampuni ya ndege ya Kenya Airways KQ kuhudumu mjini Dar es Salaam baada ya Kenya kuizuia kampuni ya ndege ya Air Tanzania kusafirisha mizigo kutoka nchini humo hadi mataifa mengine.

Na kuafutia uamuzi huo wa Kenya, mamlaka ya anga nchini Tanzania imetangaza kuondoa uamuzi wake wa kuizuia kampuni ya ndege nchini Kenya KQ, kuingia mjini Dar es Salaam mara moja.

Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Tanzania ilikuwa imetangaza kusitisha safari za ndege za abiria za Shirika la Ndege la Kenya (KQ) kuanzia Januari 22, mwaka huu.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mamlaka ya Ndege nchini Kenya kukataa ombi la Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kuruhusu ndege ya mizigo ya Air Tanzania kusafirisha mizigo kutoka Nairobi kwenda mataifa mengine.

Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo, Hamza Johari aliiambia BBC kuwa, uamuzi wa Tanzania ulitokana na vikwazo vinavyowekwa na mamlaka za Kenya kuzuia shughuli za ndege ya abiria ya Air Tanzania.

๐—ง๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—ฎ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—จ๐—ต๐˜‚๐—ฟ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ๐—ณ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜‚๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—น๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—น๐—ฎ ๐—จ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ป๐—ด๐—ฎ (๐—œ๐—–๐—”๐—ข...
16/01/2024

๐—ง๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—ฎ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—จ๐—ต๐˜‚๐—ฟ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ๐—ณ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜‚๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—น๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—น๐—ฎ ๐—จ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ป๐—ด๐—ฎ (๐—œ๐—–๐—”๐—ข)

๐”๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š
Haki ya kuruka juu ya eneo la nchi nyingine bila kutua.

๐”๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐๐ข๐ฅ๐ข
Haki ya kusimama kiufundi katika nchi nyingine kwa madhumuni yasiyo ya trafiki/kibiashara, k**a vile kujaza mafuta, bila kuwashusha abiria au mizigo.

๐”๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐“๐š๐ญ๐ฎ
Haki ya kubeba abiria au mizigo kutoka nchi ya mtu husika kwenda nchi nyingine.

๐”๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐๐ง๐ž
Haki ya kubeba abiria au mizigo kutoka nchi nyingine hadi nchi ya mtu husika.

๐”๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐“๐š๐ง๐จ
Haki ya kubeba abiria au mizigo kutoka nchi ya mtu hadi nchi ya pili, kisha kutoka nchi hiyo ya pili hadi nchi ya tatu. โœ๏ธ


Mboje Design
Design

Mashabiki sometimes watapiga kelele kwanini timu zinachukua Wachezaji walioachwa? Wachezaji waliomaliza mikataba ama wac...
16/01/2024

Mashabiki sometimes watapiga kelele kwanini timu zinachukua Wachezaji walioachwa? Wachezaji waliomaliza mikataba ama wachezaji ambao wametemwa sehemu na wengine wataenda mbali kuwa labda wanatoka Ligi dhaifu ama hazina ushindani mkubwa, lakini Shabiki huyo anasahau nae ana jukumu lake la msingi.

Mashabiki wa Kariakoo hizi timu zenu haziwezi kufanya mambo k**a Mamelodi Sundowns wala Al Ahly kwakuwa ninyi hamna sifa hizo, Mamelodi anamtaka Kiungo mwingine mwenye thamani ya Billion 6.2 ukijumlisha na Marco Allende aliyepo pale ni sawa na Billion 12 ambazo ni bajeti za Simba na Yanga kwa msimu, mwenzako kalipia usajili, imagine.

Kuingia kwenye soko la ushindani Afrika ni labda Simba na Yanga zimilikiwe na Mtu binafsi k**a Sundowns ama Mazembe lakini kwa mfumo wa Wanachama ni lazima uwe imara k**a Al Ahly na Zamalek, ambapo hapa kwetu ni k**a bado elimu haijafika vizuri, hatujaelewa na bado hatutaki kuelewa.

GSM na MO hawana cha kulaumiwa, imagine suala la Wanachama, Yanga waliochukua kadi na kulipia ada zao za Wanachama kwa taarifa nizonazo hawafiki 25,000 nchi nzima jaribu tu kufikiria Al Ahly mtoto mdogo analipa ada 105,000 kwa mwaka, huyu unaenda kushindana nae vipi? Hapo Simba wangapi wana kadi za Mashabiki?

Matajiri wanabeba mzigo mkubwa na ni k**a Mashabiki wameziacha timu mgongoni mwao, wapo pembeni wanasubiri Kariakoo Giants waishi k**a Giants wa Afrika, hiyo ni ngumu bila Mashabiki kubadilika basi timu zitaishia kugombania wachezaji wa Ligi Kuu, watapishana kubeba Ligi Kuu na watakuwa na vikosi vya pili ambavyo vitashindwa hata kubeba Mapinduzi Cup.

Wachezaji wakubwa na wa maana wapo, wachezaji wenye thamani wapo ila pesa yote anatoa nani? Upande wa Mashabiki na wanachama wana support gani? Zaidi ya kusubiri vipaza sauti ya waandishi kuwakosoa Matajiri mambo yasipoenda sawa.

Yaani tununue pikipiki kutoka India halafu tuliite Mercedes Benz??___

[ ]

14/01/2024

DAHH BETING NI NGUMU SANA KUTOBOA, HADI WAMAKONDE WANACHANA MKEKA๐Ÿ™Š

๐ŸšจJUST IN:  Mashujaa Fc imekamilisha usajili wa kiungo Mshambuliaji David Ulomi.Ulomi amewahi kupita Alliance Fc, Ruvu Sh...
14/01/2024

๐ŸšจJUST IN: Mashujaa Fc imekamilisha usajili wa kiungo Mshambuliaji David Ulomi.

Ulomi amewahi kupita Alliance Fc, Ruvu Shooting, Dodoma Jiji Fc, Al Hilal Omdurman ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ na Moroka Swallows Fc ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ

N.B kinachonivutia zaidi pale mashujaa ni huyu graphic design wao jamaa anamawe kweli๐Ÿ™Œ๐Ÿ’ฅ

Mboje DMboje DesignoSound of a Gun

Address

Https://www. Youtube. Com/@MBOJETV
Musoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mboje Design posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mboje Design:

Share