Bongo Mix

Bongo Mix BONGO MIX NI MAHALI PA KUPATA HABARI ZA UHAKIKA NA KWA HARAKA ZA MICHEZO NA BURUDANI PAMOJA NA BREAKING NEWS ZA NDANI NA NJE YA NCHI.

BONGO MIX NI MKUSANYIKO WA HABARI ZA BURUDANI, MICHEZO NA BREAKING NEWS ZA NDANI NA NJE YA NCHI. HAPA NI MAHALI PA KUPATA HABARI ZA UKWELI NA UHAKIKA. USIKUBALI KUPITIWA NA HABARI NA USIKUBALI KUHADITHIWA. NJOO BONGO MIX ILI UJIPATIE HABARI MBALIMBALI ZILIZOTIA FORA, BREAKING NEWS, HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI KUTOKA KILA KONA YA TANZANIA KWANZA NA KISHA KOKOTE DUNIANI.

04/04/2014

KILA NDOTO
Kila Ndoto Lyrics
by SaRaha ft Marlaw

Verse 1 - SaRaha
Mara kwanza nilipokuona
nimeshindwa kuongea
unafanya nini na mimi baby (baby)
Natafuta maneno
kuelezea kukujulisha
umeshika moyo wangu wewe (wewe)
Nakupigia bila sababu
kusikiliza sauti yako
mbona siwezi kukwambia
kwamba nilikutamani
ila nikawa na aibu
kumbe na mwenzangu ni vile vile

Chorus
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe

Verse 2 - Marlaw
Kwa muda mrefu sasa
nimeshindwa kukwambia
moyo umekuchagua wewe (wewe)
Nikitaka kuongea
maneno yanapotea
natamani uanze mwenyewe (mwenyewe)
oh everytime I see you
I wanna tell you how I feel
but you make me shy
Nilikutamani
ila nikawa na aibu
kumbe na mwenzangu ndo vile vile

Chorus
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe

04/04/2014

KUNA WIMBO MWINGINE HAPA:
K.K.K by Roma ft Nicolazo

Verse1:Roma
Wameweka mpira kwapani tayari nishawanawa
Ka napiga halafu nafinya namficha shinji kagawa
S**a weka kushoto maninja wakachimbe dawa
Nina ngunga k**a ukoo usipimie hizo sha**
Aluta kontinua
Viva ngoma viva
Bwanamdogo anajiita over
Mamdogo anajiita diva
Ni freemason fever
This ridiculos
Wauza Papa nguva dili nao pepndcula
We si una mengi (it's okey)
me ntakusaga
Show zangu baunsa anacheza
Mchecheto ulimpata jaguar
We nianzishe kwenye show nisepe na kijiji
Promoter utapigwa mawe na wanaojiita magwiji
Mzee kasema hakupi namba na hutaki jiunga vinega
Dogo utasugua benchi hutaki sugua gaga
Mc hufuati misingi unarukia k**a panzi
Usifakamie ukadhani maziwa nyingine zanzi
Sio vita ni changamoto
Karibu kikwetu kwetu
Chagua fursa ukipenda Ik**ate twenzetu
Wanatugawa kimakundi watumeze
Ona anakonda family lahi wallah
Leo jide anamjua songa
Middleman mkishndwana cv anaitia gundu
Atakula nini mwanangu
Lini nitajenga bunju
Mkinizima nisikike nitaenda cheza kabumbu
Na Roma atabaki juu ata ukiminya mapu** ooh

(Chorus):Roma & Nicilazo
Karibu kwenye kalamu
We baba uliyepinda mgongo
Kiwete mwenye magongo
Tupa magongo unifuate
Karibuni kwenye kalamu
Mama uliyelala juu ya kitanda
Unawaza kwenda kwa mganga
Imani yako itakuponya
Karibuni kwenye kalamu
Umejikwaa na umeanguka
nishike mkono inuka Jikung'ute kisha njoo
Karibuni kwenye kalamu ooh
Karibuni kwenye kalamu

Verse2:Roma
Njaa ya madee haifanani na njaa ya ommy wa tupogo
Na show akikataa Izzo B atakwenda Ney wa Mitego
Huyu anaikataa laki
Yule anaifuata kwa basi
Yule watamfanyia fitna ang'ae k**a almasi
Pamoja utatoka wapi kati ya mchicha na mbuyu
Wadau wana chenga nyingi k**a walichezea Tukuyu
Na kufumba macho siyo njia ya kuikwepa ngumi ya uso
Nilipotoka ni mbali enzi nadandia mafuso
Unaweza sali uzae chema ukazaa shoga na msagaji
Mpagani akabakwa ikatunga mimba akamzaa padri
Hili Mungu atukuzwe wote hawakuja kumzika sharo
Hamuoni Yesu alilia alipokufa lazaro
Na kabla Yesu hajarudi angerudi Nyerere mzee
Ashuhudie madhabau yakigeuzwa uwanja wa harambee
Hawakemee baba askofu wachungaji mashekhe
Wanaogeuza injili mtaji washindwe na walegee
Ukisema ukweli wanakuzika k**a analog kwenda digital
Nashukuru nahema Mungu niepushe na tindikali
Nafunga na kusali litania ya bikira Maria
Piteni mbali nimetumwa na parokia
Tusipigane mapanga kubishana nani achinje
Wananidiss na bado unialika kwenye kilinge
Usiponipiga me nitapigwa hata na bajaj za mwenge
Nina msimamo k**a ** k**a ** tongwe yeah yeah

(Chorus)Roma & Nicilazo
Karibuni kwenye kalamu
Dada uliyemaliza chuo
Umepass na huna kazi
Vibebe vyeti nifuate
Karibuni kwenye kalamu
Nyuma ya nondo ya gereza
Sauti yangu iwafariji
Ipo siku mtatoka kisha
Karibuni kwenye kalamu
Ona wazazi wamekufa
we ndio baba we ndio mama
Familia inakutazama
Karibuni kwenye kalamu yeah
Karibuni kwenye kalamu

(Bridge)Nicilazo
Ona me mzalendo mwenye mapendo
Nakemea wenye biashara ya magendo
Wanasema wamepinda k**a mizengo
Wanasinzia kwenye mijengo
Ona me mzalendo mwenye mapendo
Nakemea wenye biashara ya magendo
Wanasema wamepinda k**a mizengo
Wanasinzia kwenye mijengo

(Verse3)Roma
Kambarage hakuwa chadema lakini alivaa kaki
Kuna wabunge uwa najiuliza wanavuta bangi ya wapi
Bongo movie ni bunge movie Tuitazame tamthilia
Viongozi wanashuka hadhi kwa kugeuka mabondia
Kukosa amani sio mpaka ugombane na nchi jirani
Polisi akimuua raia ni vita vya ndani kwa ndani
Rasilimali isiwe mali ya serikali
Mwekezaji epuka mgogoro wa ardhi
Mkulima na mfugaji aliyepata zero form four
Mnamsukuma aende veta
Mnaamini umeme wa magari ndio unahitaji mazezeta
Yashinde majaribu jela uliyefungwa kwa hira
Sali milango ifunguke design ya Paulo na sila
Anakula kwa mipira anahema kwa mashine
Nani alitunza bikira hadi siku anampata mume
K**a uliupasua mpira usiuze mechi karatu
Kuwa mvumilivu wa subira k**a mama anayecheza upatu
Binti ametega mimba na wewe unajiona shababi
Kakuona ganda la ndizi
Na kwako beki hazikabi
Kuwadi anamfunda mwali
Sina amani na huyu kungwi
Hiyo pesa ya mchango wa harusi bora nisagie mirungi
Kadi hawapewei so usiogope hayo magari wanahongwa
Shosti ukaibeba sembe kizembe china utanyongwa
Maisha foleni umangaribi uache ukaipande tonda
Kiulaini wanaiua meli ipo siku utaiua nyonga
Siogopi mainstream na post ya kuvuka boda
Wanangu wa boda boda pigeni nyie ndio masoulder I told ya
maadui wapo kimbiji Na me nimeaga Tanga navuka boda ya Msumbiji
Tongwe****oooh

(Bridge)Nicilazo
Ona me mzalendo mwenye mapendo
Nakemea wenye biashara ya magendo
Wanasema wamepinda k**a mizengo
Wanasinzia kwenye mijengo
Ona me mzalendo mwenye mapendo
Nakemea wenye biashara ya magendo
Wanasema wamepinda k**a mizengo
Wanasinzia kwenye mijengo
......Tongwe records baby

04/04/2014

BONGO LYRICS NI K**A HIZI HAPA:
Nenda by Mo music

(Verse1)
Kulalama kufuru lakini
Naona ndio napoza moyo
Uwepo wako sawa na muiba kidoleni
Ile tamu imegeuka shubiri
Nilipokuthamini nikakupa moyo
Hata kutendwa sikufikiri
Kinywa kizito kukubali ukweli
Moyo unashindwa inaniuma ni hatari
Mapenzi yanatawala dunia sawa
Nimechoka kutawaliwa k**a
Uwepo wako sawa na muiba kidoleni
Ile Asali wanalina wengine
Siwezi kubishana na moyo
Nilikupenda kipepeo
Ila ile picha inaonyesha mapenzi yamekwisha
Ooh

(Chorus)
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

(Verse2)
Wanasema upendo wa kweli ndio haufutiki
Ila kwa baadhi najua
Right ningeelewa kuvuma kwa upepo kusingebadili misimu ya jua
Nilishajua miendeno yako
Tusingewezana aaha
Kumbe nakunywa maji ya moto me bado mtoto
Kwangu changamoto mmh
Waliposema hufai
Nilijipa moyo ni ya walimwengu
(Bilekebizembe bindi biloza)
Karol aliniambia

Labda thamani ya mapenzi ni kikombe
Sikukivunja sina thamani
Sawa nimelewa sana sina haja ya kung'ang'ana

(Chorus)
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

12/02/2014

Lazima ukae!

WELCOME TO BONGO HIP HOP. MWAISHO WA MATATIZOKAA MKAO WA KULA UCHECK VITU NAKUWEKEA HAPA
11/02/2014

WELCOME TO BONGO HIP HOP. MWAISHO WA MATATIZO
KAA MKAO WA KULA UCHECK VITU NAKUWEKEA HAPA

Address

P. O. BOX 6497
Moshi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Mix posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Mix:

Share