Lucatec Automation Tanzania LTD

Lucatec Automation Tanzania LTD Digital Branding and Marketing, E-commerce, and Strategic IT Consulting. Kupiti ukurusa huu utajifunza mengi kuhusu TEKNOHAMA.

Swahili: Ninatoa ushauri wa jinsi biashara mbali mbali zinaweza kutumia IT katika kujiongezea wateja na mapato. Tufuatile kwenye Instagram pia:

English: I am an IT Researcher and Consultant offering strategic advice to businesses interested with how to integrate their businesses with IT to boost revenue. Through this page you can learn a lot of things related to IT. You can also follow us on Instagram:

Habari. Tunahitaji msaada wako katika kutoa maoni kuhusu mfumo wa usafiri wa umma katika jiji la Dar es salaamTunajua us...
15/09/2018

Habari. Tunahitaji msaada wako katika kutoa maoni kuhusu mfumo wa usafiri wa umma katika jiji la Dar es salaam
Tunajua usafiri wa umma una changamoto, kero na adha nyingi na pengine wewe umeshawahi kukumbana na baadhi ya hizo changamoto. Tunataka kutengeneza mfumo wa TEHAMA utakaosaidia watu k**a wewe kuweza kufurahia usafiri wa umma katika jiji la Dar es salaam. Tusaidie kujibu maswali ili tujue na sisi tupate namna ya kukusaidia ukiwa k**a msafiri ili uweze kusafiri bila bughudha au kero.

Bonyeza link hii hapa chini ili kuweza kujaza fomu

https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdnm-ncilCNS5FR5ThAqGQV7Dp725BMbMavYTxOM_H6cyPwjA/viewform

Tunatanguliza shukrani zetu

04/11/2017

Kuwa bize haimaanishi kuwa productive katika kazi unayofanya. Unaweza ukawa busy lakini hakuna unachozalisha LOL. Kuwa bize kimkakati na si ili mradi masaa yaende. // Being busy doesn't make one productive at their work..Work Smartly. Work Strategically..LOL

31/10/2017

When you love what you do...Fun and work cannot be disentangled..//Pale unapopenda kile ukifanyacho..Basi furaha na kazi haviwezi kutofautishwa. # Entrepreneurship

29/10/2017

Artificial Intelligence (AI). The key to the future. UAE/Dubai has formed a ministry of artificial intelligence. This is to show that this field is very important and those who embrace it will benefit from it. If your business is not planning to use artificial intelligence in the future then you won't be able to play the same league with big dogs. All the tech companies use it in their platform to increase user experience(Facebook, Uber, AirBnB, Google, Amazon, Alibaba etc). If you have an idea of an app and it doesn't include some element of artificial intelligence then go back to the drawing board because it is likely that your app won't make a significant impact.
Not only tech companies need AI, even non-tech companies may need it to improve their decision making. AI can give you a perspective of understanding your customers in order to design better products for them

Behind every victory there are disappointments, failures etc..Because people are only interested on the outcome of the p...
21/08/2017

Behind every victory there are disappointments, failures etc..Because people are only interested on the outcome of the person on the podium, they miss a chance to learn important lessons at the back of the podium.. # Hustle ..

In life, you will meet people who will tell you that you don't know what you are doing or talking...Please don't listen ...
20/08/2017

In life, you will meet people who will tell you that you don't know what you are doing or talking...Please don't listen to them instead listen to the voice inside you. If they don't believe in you don't try to convince them with words. Stay on your lane. Let them interpret your quietness as the sign of being weak. But deep inside, you know what you want and through your persistence and determination you will always get where you want to be, therefore, their opinion of you should never make you doubt yourself even for a second.

Kero katika utafutaji wa nyumba za kupangaa...Dondosha comment...
08/08/2017

Kero katika utafutaji wa nyumba za kupangaa...Dondosha comment...

Fahamu jinsi faragha yako yaweza kuingiliwa kwenye mitandao.
06/08/2017

Fahamu jinsi faragha yako yaweza kuingiliwa kwenye mitandao.

Siku zinavyozidi kwenda suala la faragha (privacy) mtandaoni limeanza kupotea na watumiaji wengi wa mtandao hawafahamu kwamba faragha zao wanapotumia...

ARTIFICIAL INTELLIGENCE
25/07/2017

ARTIFICIAL INTELLIGENCE

You saw it in 'Minority Report,' but this is real now.

Vusi Thembakwayo. An interesting motivational speaker and serial entrepreneur. If you listen to him you can understand t...
17/06/2017

Vusi Thembakwayo. An interesting motivational speaker and serial entrepreneur. If you listen to him you can understand the notion of starting small thinking big. Here is one of his interesting talks found on Youtube..
https://youtu.be/WkSpNAg_Evg

Address

Chuo Kikuu Road
Dar Es Salaam
35176

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

0742340759

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Lucatec Automation Tanzania LTD posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Lucatec Automation Tanzania LTD:

Share