Mustapha HEB Foundation Tanzania

Mustapha HEB Foundation Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mustapha HEB Foundation Tanzania, kariakoo, Dar es Salaam.

MUSTAPHA HEB FOUNDATION
is a Non-government Organization aimed on Health improvement, Education inspirational and awareness, Bussiness empowerment for youth and special groups.helping youth from poor families , investment and saving , employment opport.

11/03/2026

Mustapha HEB foundation ni TAASISI isiyo ya kiserikali ambayo imeaanzishwa kwa lengo la kuinua jamiii kupitia elimu, Afya na ujasiliamali ili kuleta tumaini kwa jamiii za kimasikini na watu waliokata tamaa kwasababu ya ugumu wa maisha , hasa Maeneo ya vijijini
Foundation hii imelenga
1. Kutoa elimu kwa jamii juu ya afya, kupitia mikutano ya kijamii, semina mbalimbali pamoja na usambazaji wa vitabu maaalumu kuhusu masuala ya afya ili kuimarisha afya ya JAMIII hasa Maeneo ya vijijini kwani afya ni kitu muhimu Sana katika kuimarisha Nguvu kazi ya wanajamiii kwa maendeleo ya ndani na taifa kwa ujumla
2. Foundation hii imelenga kuinua umelewa.na mwamko wa elimu katika jamiii hasa Maeneo ya vijijini na jamii za kimasikini ambazo zimekata tamaa na kushindwa kiwawezeaha watoto wao kuendelea na masomo pengine kulingana na kukosa uelewa, kukosa mahitaji au ugumu wa maisha, TAASISI hii imelenga kuzofikka jamiii kupitia mikutano, semina mashuleni ,pamoja na usambazaji wa vitabu maaalumu kuhusu umuhimu wa elimu kwa watoto . Pia kutoa misaada ya kiwawezesha watoto kutoka katika jamiii za kimasikini ili waweze kuendelea na masomo Yao na kutimiza ndoto zao, ikiwemo kuanzisha miradi ya maendeleo ya JAMIII, shule za awali vijijini, ujenzi wa mabweni, na kuanzisha vyuo vya tuition
3. TAASISI hii imelenga kuwainua vijana kupitia biashara ili waweze kujiinua kiuchumi, kuwaa elimu juuu na namna ya kujikwamua.kimaosha na kuepuka utegemezi, kuwapa misaada ya kiwawezesha kuanzisha miradi kwa riba , kuajiri vijana katika biashara ndogondogo, kuwajemgea uwezo wa kujiajiri kupitia viwanda vidogovidogo k**a vile utange.ezaji wa sabuni, ufuganji, na kilimo Cha umwagiliaji
4.Aidha , TAASISI hii imelenga kumulika.jicho la 3 kwa jamiii zisizojoweza na familia zinazoishi katika mazingira magumu ya kimasikini na ugumu wa maisha. Watu wenye uhitaki maalumu, wakiwemo yatima pamoja na magroup MENGINE
TAASISI hii inashirikiana na TAASISI za kiserikali kwa kiwasilisha proposals zitakazopewa kipaumbele kwa lengo la kuinua jamiii zetu na maendeleo ya taifa kwa ujumla
Wizara ya Afya Tanzania
Wizara ya Fedha
Wizara ya Kilimo
Mustapha HEB foundation,
power of the community@
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✍️✍️✍️

02/12/2025

The commitment of our foundation will always change lives of those in needs
Saving the community , poor families , enabling children from poor family to meets their basic needs and to empower them to become different and bring changes to their future lives
Supporting vurnarable groups , orphans ,and those in needs
Supporting school requirements
Rural pre and primary schools initiation to bring education awareness to the villages and poor communities
Providing empowerment to save those need support to meet their goals
Health awareness and education
Bussiness initiatives and investments
Mustapha HEB Foundation Tanzania
THE POWER OF THE COMMUNITY
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Address

Kariakoo
Dar Es Salaam
MUSTAPHAELECTRONICSWITHNIZARELECTRONICSSUPPLIER

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mustapha HEB Foundation Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mustapha HEB Foundation Tanzania:

Shortcuts

Share