Nandwa Isaac.

Nandwa Isaac. Official Facebook PAGE for Nandwa Isaac| Office profile is verified βœ…
(3)

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000...
11/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 p.a) WhatsApp 0759 325270
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
All this time, Tyrone alikua ashadrop Annaliza kwake hadi ashaoga anakuja kwa bed,lakini punde si punde,simu yake message ikaingia. Akashtuka akamua kucall. Annaliza ashapata ujumbe mtoto wake mambo si mazuri. Hata karibu atoke akiwa siekenye ju ya hofu.

Wabenzi nao,Saida na Tyrone waliamua leo hii,lazima katambe πŸ˜‚πŸ˜‚lero lero ni leeero,lero lero ni leeero.

Lakini wakiamua kujibamba,manze upande wa pili,huzuni machonzi na sintofajamu imejaa kwa Robert na Annaliza. Wamelia,ya kutosha,alafu cheki,Kefa ako hapo anasmile akicheka. He just wanted to put pain kwa Annaliza na Robert kwa kuua mtoto wao.

Usiku iliisha ikafika asubuhi,Tyrone kuamka akapata haya,kumbe Saida alikunywa pombe jana ju ya sherehe akalewa na ameanza kujiongelesha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tyrone alikuja akamuuliza Saida,are you high ama? Saida akamwambia wewe ni husband wangu na usiniulize maswali za polisi. Saida hajawai lewa ni mara ya kwanza na sasa pombe inafanya anaongea ujinga,anaambia Tyrone,ushakua bwanangu na sasa huwezi nicontrol. Tyrone anashindwa huyu ni pombe inaongea ama ni Saida anaongeaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tufike kwa Kefa,yeye maisha inaendelea kawaida ashaamka na kitu cha kwanza alimcall Annaliza. Already anajua what he did but he just want to impose pain. Alimcall Annaliza akamuuliza umepata Kylian ama? Annaliza akamwambia dont bother,its over,Kylian is dead. Alafu Kefa akacheka na akakata simu na akasema aje "you should have remained loyal Annaliza"

Asha alikuja akauliza mamake,shida ni nini hujawai lewa,na umevaa nguo ya kulala unatembea nayo shida ni nini? Saida akamwambia mimi nishachoka kufurahisha kila mtu na sai sichukui orders kwa mtu,orders nachukua kutoka kwangu mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida hajawai lewa,hii ni pombe inafanya kazi.

Ona Annaliza na Robert,hawaamini chenye kimefanyika.

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Robert alimcall Tyrone,akamwambia brother dont ask,something has come up,just hurry up ukuje, na akakata simu. Tyrone akashindwa kuna nini tena.

Saida bado ni kulewa tu wamejaribu kumpea chai lakini wapi,pombe ndio inazidi sasa πŸ˜‚πŸ˜‚Tinah kanacheka,but Asha hacheki haamini mamake anaeza lewa hivi hadi anaambia Tinah huyu hakai mamangu kabisa. Nura ndio anakapitiaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tyrone ndio ako confused, ameitwa na Robert na tena Saida ndio huyo but Tinah alimwambia dad usijali wee enda sisi tutadeal na huyu.

Tinah na Asha wako nje huku ndani ni Nura amebaki peke yake. Punde si punde, Mathew akafika na k**a kawaida Mathew akataka kuongea na Nura lakini Nura alimwambia usijaribu ukanisumbua tafadhali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚enda nje saidia watu kubeba Saida.

Mathew alikuja akapata woi, Saida is wasted. Tinah aliambia Mathew enda kamuite Nura akuje tusaidiene tubebe hii ndovu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mathew alikuja kumuita Nura lakini Nura akamwambia sikiza, ukiendelea hivi nitaambia Tinah lakini Mathew akamwambia aje, Tinah hatakuamini ju anajua siezi date mtu k**a wewe. Nura akamwambia ooh,mtu k**a mimi maid sindio. Mathew alikuja akasahau yafaa aite Nura waende wabebe Saida. Tinah kuona wamekaa sana akakuja mwenyewe akauliza Nura,kwani hufiki? Nura akamuuliza kufika wapi tena? Hapo ndio Mathew akarealize woi hajaambia Nura alikua anaitwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kuna kastory Mathew came up with kenye alidanganya Tyrone jana ati Nura alipoteza childhood friend,kumbe aliambia Tinah same thingπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ju Tinah alishangaa wee mnakaa kwani mnaongea nini? Mathew akasema ni ile tu story ya Nura kupoteza childhood friend.

At this point,apart from mimi,wewe,Robert,Annaliza na Kefa,hakuna mtu mwingine amejua Kylian is no more.

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS
1 From (Yearly) to 6000 per yer 500 Monthly CHARGES
2 6600-7000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 330
3 7000-7400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 420
4 7500-8400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 550
5 9000-9400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 620
6 9500-10400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 690
7 10500-11600 to 6000 per yer 500 Monthly KES 730
8 12000-12400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 780
9 13000-14400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 850
10 15000-17500 to 6000 per yer 500 Monthly KES 900
11 18000-20000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,000
12 21000-24000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,150
13 25000-28000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,350
14 29000-32000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,550
15 33000-36000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,750
16 37000-40000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,000
17 41000-45000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,350
18 Above 46000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 3,000
Whatsapp Only on 0759 325270

π€π˜π€ππ€ πŸ—π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 ...
08/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ—π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 p.a) WhatsApp 0759 325270

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Mambo yanazidi kuchemka. Robert yeye anataka wedding iendelee but Annaliza hataki ju Kylian hapatikani. Robert aliambia Annaliza,unakumbuka Tinah akiwa kidnapped,tuliendelea na plans za marriage right,mbona hii ya Kylian unaitreat as if ni mwisho wa dunia,ju unataka we cancel the wedding just because Kylian ameenda kuzurura sio? Annaliza akamwambia enyewe wewe ni ng'ombe tu,how are you even an MD? Annaliza aliambia Robert sikiza,hakuna wedding na imeisha.

Annaliza akiamka kuenda,Robert alimzuia akamwambia guess what,unajua ukicancel wedding itaaffect ya Tyrone pia and guess who will be most hurt? Saida. Enyewe Annaliza akaona by the way ju Saida ameishi sana kuimba hii wedding,akarelax.

Weweee,Saida amepakwa make up na Nura,amependeza kupendeza,checki nyonyo ❀️❀️❀️Hii itanisukuma hadi next Tuesday🀣🀣🀣

Huku kwa Robert aliona nikaa Annaliza hataki akamwambia its ok acha nicall Tyrone nimwambie umecancel. Annaliza kuona Tyrone amepigiwa akachukua simu akamwambia Tyrone,usijali ni mimi niko na simu ya Robert na tunakuja. Tyrone akamwambia huku sisi tuko ready mbaya. Annaliza akaona ni yeye tu hayuko ready but deep down anajua hayuko sawa,she is still skeptical.

Tufike kwa barabara kiasi, kuna vijana wawili walikua kwenye zoezi wanakimbia morning run,lakini msichana akiwa upande wa nyuma,aliona kitu kwa kichaka,akaamua kuchungulia. Manze ile kitu aliona, sidhani k**a ataheal,akamuita boy wake boy pia kuangalia alipiga nduru,mbaya mbovu,alafu wakati wanapiga nduru,nani alishtuka hadi anakosa kupumua? Annaliza. Makosa. Kefa anajua,as long as Kylian ako alive,atasema mwenye alimkidnap na Kefa haezi risk kurudi jela,so the only way kunyamazisha Kylian ni kumpea nyama na maziwa. Ndio anyamazishweπŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Mathew akienda kazini alikutana na Nura hapo,na leo Nura hajavaa nguo za kazi amevaa nguo za wedding. Mathew alimuona akasema wueh,umestand mrembo 🀣🀣🀣hadi akaamua kumshika kumbe Tinah aliwakuta,akawauliza whats going on here? Mathew akamwambia babe,si venye unafikiria ni Nura alikua anaanguka nikamsaidia.

Kuna zawadi Mathew ameletea Tinah akamwambia funga macho. Kisha zawadi ikafunguliwa,kumbe zawadi ni portrait photo ya Tinah na Mathew. Tinah kalipenda sana.

Hatimaye,wedding ilianza, Saida na Tyrone na Annaliza na Robert,lakini kuna venye Annaliza hayuko settled,ju anashuku something is wrong.

Sherehe ikiendelea huko nje,huku kwa mansion Tinah na Mathew wamekaa tu watching from a far,wakona story zao huku Tinah anaambia Mathew, something is not right about all of this wedding things.

Tyrone alinotice Annaliza hayuko sawa,akakuja akawauliza guys kila kitu iko sawa? Annaliza akasema apana everything is not ok. Robert akasema I think he went met with friends maybe ako na mabeshte lakini Tyrone akamwambia Robert for today sikubaliani na wewe,hakuna venye mtoto atapotea na muassume kila kitu kiko sawa.

Punde si punde, Kefa akafika 🀣🀣Robert alishtuka akamuuliza nani alikuInvite huku,this is an only invite wedding,lakini Tinah akiwa huko akashout akasema aje, I invited him. Robert aliambia Kefa sikiza, stay away from my daughter lakini Tinah akaambia Robert najua wewe ni babangu lakini Kefa is my guest and Kefa is my hero na haendi pahali unless I say so.

Tinah aliambia Robert as long as Kefa ako hapa,he deservesd all treatments any VIP gets. Annaliza aliwakatiza akawaambia guys,can I have a word with Kefa,privately. Robert akashindwa wee babe? Lakini Annaliza akamwambuia sweetie,let me talk with him,kindly. Hawana habari,jana mchana yooote Annaliza alishinda na Kefa na chenye walifanya,ni chenye unaenda kufanya na chali yako usiku huu 🀣🀣🀣🀣

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS
1 From (Yearly) to 6000 per yer 500 Monthly CHARGES
2 6600-7000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 330
3 7000-7400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 420
4 7500-8400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 550
5 9000-9400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 620
6 9500-10400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 690
7 10500-11600 to 6000 per yer 500 Monthly KES 730
8 12000-12400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 780
9 13000-14400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 850
10 15000-17500 to 6000 per yer 500 Monthly KES 900
11 18000-20000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,000
12 21000-24000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,150
13 25000-28000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,350
14 29000-32000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,550
15 33000-36000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,750
16 37000-40000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,000
17 41000-45000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,350
18 Above 46000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 3,000
Whatsapp Only on 0759 325270

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 ...
08/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 p.a) WhatsApp 0759 325270
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Tyrone alijaribu kuelezea Tinah akamwambia mum wedding ni kitu ya siku moja tu na wewe I will still protecting you and I really love you lakini Tinah akamwambia hakuna,najua mwenye unapenda sana unapenda huyu mama hapa na ni yeye najua alikuambia uendelee na wedding🀣🀣Saisa alishindwa kunyamaza akaambia Tinah,sai unasema venye sijui mimi,what of your father,your real father pia anapanga wedding na tunafanya kesho,it will be a double wedding🀣🀣🀣

Tinah kalijam,,akacall babake mwenyewe sasa,thats Robert akamwambia so iam nobody kwa maisha yako? Robert akamuuliza unamaanisha? Tinah akamwambia mbona uplan wdding nikiwa missing hata hukujua k**a niko alive? Robert akamwambia relax I can explain lakini katoto kamejam kalimwambia save your energy for explaining. Punde si punde,Robert akasikia Annaliza anaingia akakata simu ya Tinah.

Robert alikuja akauliza Annaliza,mbona hushiki simu zangu na unarudi sai usiku? Annaliza akajianya kujam sana akamwambia imagine babe, designer wangu wa wedding dress hajaunda nimeshinda tao nikitafuta sijapata. Robert akamwambia usijali, tutaangalia kwingine na iam sure everything will be ok. Sisi tunajua kwenye Annaliza ametoka,ametoka kwa Kefa🀣🀣🀣

Now that hadi sai Kylian hajafika na Annaliza akicall hashiki simu zake,alimtumia voice note,akamwambia son,najua nilikosa lakinio please njoo home. Kumbe ni Kefa ako na simu ya Kylian,so Annaliza akicall na kutuma voice note ni Kefa anasoma na kusikiza.

Kefa aliamua kuwafool,akatuma message kutumioa simu ya Kylian akamwambia mum,usiwa na wasiwasi na mimi, niko sawa ni few days tu nitakua sawa nirudi. Lakini Annaluiza akisoma hii message anaona apana,hii si handwriting ya Kylian,ju k**a ni Kylian,mbona amuite mum na amwambie "Its Kylian"🀣🀣

Annaliza akapea Robert akasoma hiyo message na akamwambia maybe ni wewe tusiwe na wasiwasi. Alafu checki,Robert akarudishia Annaliza simu yake,wakati tu Annaliza ameshika simu hivi,Kefa sasa akatuma message kwa Annaliza akitumia simu yake. Annaliza akashtuka kwanza...Robert akamuuliza Kylian anasema nini tena lakini ju Annaliza anajua huyu si Robert akamwambia ni story za wedding acha niende kwa bafu nioge. Annaliza akaenda na simu,Robert akashindwa,k**a ni story ya wedding mbona asionyeshwe🀣🀣🀣

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Annaliza bado hajatulia,hajui Kylian ako wapi hadi akaambia Robert aje, Iam sure something happend to our son ju ako mteja. Robert akamwambia just calm down tumalize wedding atarudi,lakini Annaliza akamwambia usiniambie wedding za matakataka wakati mtoto hapatikani,wedding is off🀣🀣🀣

Mambo yamechemka sasa Annaliza amesema wedding iko only if atamuona Kylian. Wakiwa hapo tena,Kefa akamcall. Robert akamuuliza ni Kylian tena? Annaliza akamwambia si Kylian ni jamaa tu aluikua anauliza story za wedding but tumeona ni Kefa🀣🀣🀣

Annaliza alijua ni Kefa akatoka nje kushika,akamwambia Kefa,acha kunitext unataka kuchoma? Kefa akamwambia relax mamaa najua unanipenda lakini Annaliza akamwambia whatever happened acha ibaki hivyo na isifikie Robert and please dont text me. Kefa akamwambia its ok,enjoy your wedding. Annaliza akamwambia hakuna wedding ju Kylian is missing,please nisaidie kumtafuta nijue tu ako sawa. Huh! Kumeb Annaliza wakiongea,Robert alifika hapo na Annaliza haklurealize na Robert akasikia Kefa ameitwa 🀣🀣🀣mako! Makosa sana.

Tufike kwa Saida na Asha,leo walilala pamoja,daughter and mum. Saida alimwambia Asha venye anashukuru kuwa na yeye kwa raha na shida,venye walikua wanalala njaa,venye alisumbuka sana kumsomesha Asha. Asha akawambia mamake subira huleta matunda. Saida akamwambia then nilisubiri sana,k**a huyu ni mimi naenda kuoleka kesho,Mungu tu ahimidiwe. Walikua na machozi ya furaha wakiamini sana harusi lazima ifanyike.

Nura ashaamkia kwa room anataka kumpaka make up Saida ju wedding inaanza ina few..furaha si furaha wakiamini wedding inaenda kufanywaπŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS
1 From (Yearly) to 6000 per yer 500 Monthly CHARGES
2 6600-7000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 330
3 7000-7400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 420
4 7500-8400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 550
5 9000-9400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 620
6 9500-10400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 690
7 10500-11600 to 6000 per yer 500 Monthly KES 730
8 12000-12400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 780
9 13000-14400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 850
10 15000-17500 to 6000 per yer 500 Monthly KES 900
11 18000-20000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,000
12 21000-24000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,150
13 25000-28000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,350
14 29000-32000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,550
15 33000-36000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,750
16 37000-40000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,000
17 41000-45000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,350
18 Above 46000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 3,000
Whatsapp Only on 0759 325270

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 ...
05/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 p.a) WhatsApp 0759 325270
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Robert ndio wanafika home lakini Annaliza alishtuka ati Kylian hajafika since atoke. Robert akamwambia usijali maybe he needed some time kiasi acha atulie atakuja. Annaliza anasema apana, Kylian hakuangi hivyo but k**a ni time anataka he will be back...huh! Joke on you.

Kumbe Kylian,tuliona ametekwa nyara ndio sasa acha niwaonyeshe mwenye alimkidnap, Kefa. Kylian wakati anapata ufahamu ndio alishtuka mwenye amemkidnap ni Kefa 🀣🀣Kefa alicheka akamwambia kijana,hakuna mwenye anakuja kukusafe. Kylian anashindwa kwani nimekosa nini lakini Kefa alichukua rungu akamwambia sikiza,nilikulea k**a mtoto wangu,I raised you Kylian alafu fala atokee tu huko ati sasa anakuchukua,I wont allow that. Wah! Revenge time.

Tyrone na Saida cant wait ju ni kesho tu wanafanya wedding,kwanza k**a kuna mtu ako soo happy ni Saida alafu sasa mwenye ako extremely happier ni Tyrone. They are counting hours wavalishane pete waanze kumumunyana rasmi 🀣🀣🀣hadi waliamua kukisiana,lakini kabla Saida hajatoa ulimi,Asha akafika 🀣🀣🀣

Tyrone aliambia Asha sweetheart,ukija hapa unanock kiasi unaona karibu utupate tuki,eeh! Ile kitu🀣🀣🀣

Haya! Tuliona Annaliza ameomba ruhusa aende kupimana nguo ya wedding lakini sikiza,Annaliza hakua anaenda kupima nguo,alikua anakuja kwa Kefa na already ashafika.

Annaliza alikuja akapata Kefa akamwambia najua huwa unaiona nakuchukia lakini bado nakupenda,kwanza nimesikia ati ulisaidia Tinah,manze you are one in a million na nimekuja tu kuomba msamaha incase nilikukwanza. Annaliza hana habari,huyu huyu Kefa amemukidnap Kylian.

Sikiza, Annaliza amekuja kuomba msamaha Kefa na ju anajua kesho anafanya wedding guess alifanya nini,alimshika Kefa shirt na akampeleka kwa bedroom,ile kitu walifanya huko,eeh! Hata shetani alibaki akiwa amekaa hapo kando akishangaa tu na hivi ndio lodgings huwa wakuu,acha niwaambie story ya rafiki yangu,aliniuliza mbona kwa lodging kunakuanga na kiti hapo. Sababu ya kiti ni ya kukaliwa na shetani akiwaangalia venye mnatandika usherati 🀣🀣🀣🀣Imagine kesho ni wedding ya Annaliza as alleged,but ameamua kuangushia Kefa leo k**a ishara ya kumuomba msamaha.
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Saida alienda akaongelesha Nura akamwambia aache mchezo na Mathew kisha baadaye akakuja kwa Tinah ju anajua Tinah anamchukua ju alibail Ray out. Tinah kamejam kanamwambia Saida iam sick of your drama lakini Saida alijaribu kumuongelesha but Tinah hataki kusiia anything. Saida alimwambia nakujali sana na nilikua na hofu,najua tumeishi kuchukiana lakini its time we cut the hatch ju nakujali sana. Mathew ako hapo akamwambia Saida wee pia nyamaza unasema unamjali an uliendelea na story zako na wedding hiyo ni kumjali gani? Saida alimwambia Mathew sikiza usipende kuwa sumu kwa maisha ya watu,na ukiendelea kukanyaga nyoka itakuuma. Mathew hafikirii hajui siri yake Saida ako nayo.

Kumbe Annaliza na yeye baada ya kukulana na Kefa,alishikwa na kale ka usingizi ka after mechi,sasa Robert ndio amemcall,hashiki ju Annaliza amelala kulala. Aliamka akapata 87 missed calls.

Annaliza mbio mbio akaoga akatengeza nywele ready kuenda. Ona sasa Kefa venye anaenjoy after kusweat 🀣🀣🀣

Turudi kwa Mathew na Saida,alimwambia Mathew,hufai hata kupiga mdomo hapa,yafaa unyamaze. Mathew akamwambia wee unajaribu kuwa guilty ju najua hupendi Tinah na sikuogopi na venye mlifanyia Tinah lazima utalipia. Saida akamuuliza unangoja nini,si ufanye chenye unaeza fanya ama uende polisi ama. Saida anashindwa haka katoto nikafanyie nini but akaambia Tinah sikiza k**a kuna mtu wa kulaumu ni huyu Mathew na mimi naomba tu msamaha wewe k**a wewe na sitawai rudia kukuudhi tena. Tinah akamuuliza mbona uombe msamaha? Saida akamwambia ni ju kesho mimi na babako tunafganya harusi. Tinah akashtuka akauliza Mathew,ni kweli,kuna wedding an hujai niambia? Mathew akamwambia yeah ni ukweli they are wedding. Tinah ndio alishtuka anasema how can my dad marry this useless woman here. Lakini Saida yeye anacheka tu ju hata pia anajua who is useless woman 🀣🀣

Tyrona alipigia mapolisi simu akawaambia sikzia, sijui mtafanya aje, lakini chenye nataka mtafuta Brayson mumueke ndani,come rain come sunshine.

Saida alikuja akaambia Tyrone kimeumana,ju huyo Mathew simuoni vizuri,mwanaume ni mdomo k**a kasuku. Punde si punde,Tinah akakuja akauliza babake,Tyrone,so ulikua ufanye wedding bila kuniambia? Tyrone akamwambia niliona uko na vitu mob za kufikiria sikutaka kukuchosha but usijali yeah kesho nafanya wedding unless uniambie chenye ulitaka nikuambie. Tinah akamuuliza ulifikiria aje siku ya wedding,k**a nilikua missing ama venye nilirudi? Tyrone akamwambia I think thats not important,what matters is uko hapa..Lakini Tinah akamuuliza,so k**a ningeendelea kupotea ungeendelea na wedding? Tyrone akamwambia noo,tulikua na mambo ya kufikiria sana kukuhusu,so relax na usinipigie kelele wewe msichana🀣🀣🀣🀣

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS
1 From (Yearly) to 6000 per yer 500 Monthly CHARGES
2 6600-7000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 330
3 7000-7400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 420
4 7500-8400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 550
5 9000-9400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 620
6 9500-10400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 690
7 10500-11600 to 6000 per yer 500 Monthly KES 730
8 12000-12400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 780
9 13000-14400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 850
10 15000-17500 to 6000 per yer 500 Monthly KES 900
11 18000-20000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,000
12 21000-24000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,150
13 25000-28000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,350
14 29000-32000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,550
15 33000-36000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,750
16 37000-40000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,000
17 41000-45000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,350
18 Above 46000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 3,000
Whatsapp Only on 0759 325270

π€π˜π€ππ€ πŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 ...
04/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 p.a) WhatsApp 0759 325270
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Nimeamka 6am kuandika Updates! Usipite k**a hujaeka LIKE ❀️❀️
Annaliza asharealize alikosea na k**a mke mwema aliamua apana,acha aundie mume wake kitu. Ashapika chai ready for Robert. Robert na yeye ameamua kuamka aende tu kazi hivyo lakini Annaliza alimzuia akamwambia babe hakuna place unaenda k**a hatujaongea kwanza jana ukaninyima nikalala na baridi tena sai? Annaliza alihakikisha Robert ametulia na hata ikawa wakunywe chai lakini punde si punde,simu ikapigwa,Tinah amepatikana. Robert na Annaliza waliacha chai mbio hadi kwa Tyrone.

Kumbe Kylian alitoka kutembea na akakutana na Kefa,akamuuliza my former dad,huyu Tinah umesikia anything? Kefa akamwambia aah,kwani hujaambiwa? Kylian akamuuliza nini? Kefa akamwambia mimi nilipata Tinah nikampeleka kwao unaeza enda kumuona kwa mansion. Kylian alifurahi aje,hadi akamhug Kefa.

Robert walifika na kitu ya kwanza aliuliza ni,nani alikua amekukidnap? Tinah akamwambia aje? Ni Sabina. Shock on Robert's face.

Huku nje Mathew akiwa amekaa hapo,Nura alikuja akampata akiwa na stress stress akamwambia najua pia unashangaa Sabina amegeukaje but usijali,cha muhimu Tinah asharudi na ako mzima mnaeza endelea mapenzi yenu bika wasiwasi. Nura alingoja Mathew aseme kitu kuhusu wao but Mathew hakusema kituπŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²contract iliisha🀣

Robert ashajua kila kitu sasa na amejam,mbaya mbovu. Akasema aende kwa bathroom kiasi akaacha Annaliza na Tinah hapo. Kisha Annaliza akamuuliza by the way na ulipatikana aje? Tinah akamwambia its Kefa,he rescued me. Annaliza akashtuka.

Kumbe Robert alikuja akapata Saida hapo na Tyrone. Robert anataka kumpiga Saida lakini Tyrone alimzuia,akamwambia bro,relax,Saida hana makosa lakini Robert amejam,akaambia Saida nikifind out ulikua involved utajua hujui,you are the reason behind my daughter's kidnapping na ukabail out Brayson. Asha alikuja akaambia Robert usiongeleshe mamangu hivyo, hakuna makosa amefanya ju hata pia nilipea Brayson chance so is my mum is guilty Iam guilty too. Tyron hakupenda venye Robert alireact k**a mshenzi.

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Saida alijam akaenda na Tyrone akamfuata,akamwambia please Saida,usiwe hivyo usichukulie Robert vibaya hajui chenye anafanya lakini Saida akamwambia shida si Robert shida ni wewe. Tyrone akamuuliza nimefanya nini tena? Saida akamwambia yani wewe umesimama hapo lakini Asha atoke hukoo kunitetea na wewe umesimama tu hapo.

Said alijam hadi akatoa pete akapea Tyrone akamwambia wedding yako ya matakataka na kwako sitaki kabisa. Imagine Saida ako serious hadi akaanza kupack nguo zake lakini Tyrone akamwambia huendi pahali. Kwa harakati ya wao wanabishana bishana,wakaanguka kwa kitanda kisha wakaangaliana. Checki s*x eyes 🀣🀣🀣ile hasira Saida alikua nayo ikaisha mara moja🀣🀣🀣

Robert na yeye kurudi kwa nyumba,pia akaambiwa ni Robert alirescue Tinah. Robert akasema zii, huyo mwanaume hakuna kitu anaeza fanya kizuri na usijaribu kumuamini. Robert hataki kusikia ukweli ati ni Kefa, co husband amesaidia Tinah🀣🀣🀣

Tinah akauliza na Kylian ako wapi? Robert akadanganya akasema ameenda kuregister university. Lakini wakati huo huo,Kylian hata hajulikani anaenda wapi,lakini alianza kupigiwa simu,kila saa akipigiwa anakata,kisha akiwa kwa barabara,kuna jamaa walipitana,jamaa akamuangalia lakini Kylian akaendelea na shughuli zake za kutembea,akapigiwa simu tena lakini this time round akiangalia simu,aliguzwa kutoka nyuma. Maskini wa Mungu Kylian kugeuka aangalie ni nani amemguza,alipigwa kofi ya uso,akaona nyota...kisha akatekwa nyara na simu yake ikachukuliwa. Kylian has just been kidnapped,wah! Makosa.

Asha na yeye alikuja kwa room akapata ndio babake anarudisha pete kwa mkono wa mamake,akawaambia nilijua tu chenye kimefanyika,mama amekasirika akatoa pete na afetr 5min akatulia ndio inarudishwa🀣🀣🀣🀣

Nura ashaanza kujam akiona Tinah na Mathew wanalishana 🀣🀣🀣

Baadaye, kabla Robert waende, walikuja wakaomba msamaha kwa Saida venye Robert alireact na kila kitu kikawa sawa,kisha Tyrone akauliza byh the way kuhusu Kefa kumuokoa Tinah mumeonelea aje? Robert akamwambia tumeongea na my wife na hata tumeona its time nichukua Tinah akuje kuishi na mimi. Tyrone akamwambia haina shida,Tinah is always welcome kwangu.

All in, kila mtu is happy na hata Asha akawaambia wako na weddings za kupanga,lakini hawana habari,hiyo wedding haitafanyika,kwa nini? Kylian has just been kidnapped.

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS
1 From (Yearly) to 6000 per yer 500 Monthly CHARGES
2 6600-7000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 330
3 7000-7400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 420
4 7500-8400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 550
5 9000-9400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 620
6 9500-10400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 690
7 10500-11600 to 6000 per yer 500 Monthly KES 730
8 12000-12400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 780
9 13000-14400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 850
10 15000-17500 to 6000 per yer 500 Monthly KES 900
11 18000-20000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,000
12 21000-24000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,150
13 25000-28000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,350
14 29000-32000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,550
15 33000-36000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,750
16 37000-40000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,000
17 41000-45000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,350
18 Above 46000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 3,000
Whatsapp Only on 0759 325270

π€π˜π€ππ€ πŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 ...
03/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 p.a) WhatsApp 0759325270.
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Tuliona Sabina alihepa ile siku usiku na akaenda kabisa,lakini sasa, asubuhi na mapema simu ilipigwa. Tyrone akapigiwa simu akaambiwa aje "njoo city mortury" Tyrone akashindwa,mortyrty anaitwa kufanya nini but hakuambia mtu,alichukua gari lake na kisha akaenda.

Brayson alishafaulu akaingia country bus,na ju ako na pesa akaamua kuchukua uber akaambia kamzee ka uber nataka unifikishe Kakamega nakupea 35k, Kadere kusikia 35k kaliwasha gari mbio mbaya mbovu,alafu makosa ni hakua amelipwa 🀣🀣🀣ju wakati walitoka tu tao hivi kupita kwa roundabout ya UoN,mbele yao kuna road block. Kumbe simu zihapigwa na imesemekana Brayson asitoka Nairobi,he is wanted to faking kidnapping ya Tinah. Maskini wa Mungu Brayson,alik**atwa na sisi tunajua hakuhusina lakini tamaa yake ndio imemueka kwa ngori.

Ona Nura na yeye venye anaangalia Mathew,anakwazika ju kalikua kashampenda shida mwenyewe amefika.

Wacha sasa Tyrone afike mortury,wa wa wa wa wa,apate mwili wa Sabina,umekanyagwa hata huwezi jua ni yaya. Kumbe wakati alikua anahepa,manze aligongwa na tractor ya miwa,akakanyagwa mguu zote mbili,kumalizwa. Maskini wa Mungu Sabina, imagine unaendelea kusoma na umeoan tu nimesema tractor ya miwa,wee ushawai ona tractor ya miwa Nairobi? Mnakuanga aje saa zingine surely? Hata nimeboeka acha nilale,leo Ayana haijaekwa tungoje kesho.

π€π˜π€ππ€ πŸ‘π‘πƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 ...
02/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ‘π‘πƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Naomba kazi! SHA appeals of High contributions from any amount down to 500 monthly (6000 p.a) WhatsApp 0759 325270
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Asiyefunzwa na mamake huchoma shule. Annaliza alikaa akaona apana,huyu mtoto ananizoea vibaya sana alikuja akamwambia sikiza Kylian,ujinga wako na Nura wont happen,sai badala nishughulike na kupanga harusi yangu uko hapa kunikula kichwa. Kylian akamwambia mum kwanza hufai kuingia kwa room yangu hivyo. Annaliza akamwambia shut up,ngamia! You are under my room and you do as I say.

Kylian alianza kucheka πŸ˜‚πŸ˜‚akaambia mamake,unasema uko under your roof na mimi niko kwa nyumba ya babangu. Annaliza akamwambia ebu rudia kitu umesema,Kylian akamwambia nimesema niko kwa nyumba ya ba..pigwa kofi! Hakumaliza kalifunikwa kofi,hadi camera man akashtuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ushawai pigwa kofi hadi babako akiwa seating room anasikia πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert alikuja akauliza ni nini? Kylian akamwambia akilia ati imagine nimeambia mama niko kwa nyum...nyu... Annaliza akatengeneza mkono anangoja tu k**alize kusema akafunike ebola ingine ya uso. Kylian hakusema 🀣🀣🀣

Tufike kwa Tyrone,leo ni k**a ni siku ya makofi🀣🀣Tinah amejaa ngori anauliza mamake after everything nimekufanyia,nikasimama na wewe when everyone alikuchukia but malipo? Hivi ndio unanifanyia? Sabina akamwambia please my daughter...Tinah akamwambia dont call me your daughter,you are dead to me. Woiye Sabina.

Asha pia akamwambia enyewe wewe ni nyoka,nilikosana na mamangu nikidhani wewe ni mtu mzuri,kumbe wewe ni takataka tu. Sabina analia akaambia Tyrone please,I can explain...Tyrone akasongea, Sabina akidhani anakuja kuexplainiwa,alifunikwa kofi na Tyrone,hadi Kefa akashtukaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sabina akashindwa wait,hadi akamuuliza Tyrone did you just slap me? Tyrone akamwambia ndio na una bahati sana sina gun yangu hapa ningekufunua kichwa ushangae. Now get out of my house.

Huh! Sabina akaona wee sai saa tano ya usiku aende wapi. Lakini Tyrone ako serious,alimshika mkono akaanza kumvuta nje. Sabina akamwambia please Tyrone umenivunja mguu,lakini Tyrone akamuuliza,nimekushika mkono mguu unavunjika saa ngapi? 🀣🀣🀣🀣

Asha akatoa wazo akasema dad kuliko umtoe nje,ita polisi watoke na yeye. Tyrone akamwambia hapo umesema kweli,kaniletee simu yangu. Asha akakimbia kuchukua simu. Sabina kusikia polisi wanaitwa, akaangalia kando akaona Tyrone amesubaa,akaangalia kando tena akaona Saida amesubaa, Sabina alitoka mbioπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hadi akaruka gate!

Kefa ashamaliza kazi yake,ashapeana Tinah kwa wazazi lakini akitoka,aliamua kupeana Brayson,akawaambia sikiza,no matter what you do,msimuamini Brayson..makosa! Kumbuka Kefa aliona Brayson akiongea na Stano so akajua they are in kahoot na sasa maskini wa Mungu kwa tamaa zake,Brayson akapeanwa.

Robert na yeye hakufeel venye Annaliza anabehave alikuja akamwambia by the way Annaliza,sipendi venye unanikosea heshima mbele ya mtoto,unafanya nakaa as if wewe ndio kusema kwa hii nyumba. Anna akamwambia eeh ju unajaribu kupembeleza mtoto. Robert alimwambia sikiza,do not take my kindness for weakness,hapa ni kwangu na heshima lazima idumu,lakini Annaliza akamwambia aje "relax mama nani,usiongee as if ushaniekea ring,so sijakua bibi yako"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Rob kilijam akaamua akaamka akaenda.

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Finally Tinah is home.
Asha alikuja akakaa na yeye huku Tinah anauliza,why me! Ama nimerogwa? Asha akamwambia noo hujarogwa ama kulaaniwa. Tinah akamwambia ni rahisi unasema ju si wewe umeyapitia. Asha akamwambia hujui venye tulisumbuka tukikutafuta,tukapandika maposters na Brayson. Tinah akamwambia kwanza speaking of Brayson,mbona anaekwa kwa mix?

Hapo ndio Asha akajua,Brayson ako mwa mix na hata zile pesa za kwanza ni yeye alichukua. Asha alikuja akaambia babake akamwambia unajua Brayson ndio alikuibia zile pesa zako,ulifanya makosa sana kumlipia bail... Tyrone akawaambia its time mjue ukweli,si mimi nililipa bail,ni mama yenu ndio alilipa bail. Tyrone akamruka Saida 🀣🀣🀣🀣

Asha amejam,alikuja akamcall Brayson lakini Brayson kuona ni empress anamcall wueh,ajikute ameshika. Hakushika. Kumbe Brayson pia na yeye ameona manze mambo yashachemka and its time kuhepa Nairobi. Alipark kila kitu,manguo,everything on his name with 2million kwa bag Brayson huyoo akaishia na akazima simu🀣🀣🀣

Asha alirudi kwa mamake sasa.akamuuliza mbona ukamtoa jela? Saida akasema sikumtoa kwa ubaya,ni venye niliona lazima kuna kitu Sabina anaficha na Brayson alikua anakaa tu innocent. Asha alimwambia mum,umechoma sana.

Turudi kwa Annaliza,tangu Robert atoke,hajarudi. Annaliza ako na wasiwasi sana kumbe Robert alienda akalewa,kisha akarudi akiwa fully charged,akamwambia mwanamke sikiza,ni uamue k**a bado unataka kuoleka na mimi ama apana useme sai sai before pombe ziishe. Annaliza alimwambia babe,iam sorry haikua ifike hapo,twende kwa bed nikupee kamoja lakini Robert hataki🀣🀣alimwambia hata silali na wewe nalala kwa kiti hapa na usiniguze guze🀣🀣🀣

Siku iliyofuta Annaliza aliamkia kwa room ya Kylian but hakako kashatoka na hajui kameenda wapi. Kwa kiti pia Robert hayuko aliamka akaenda,hajui wanaume wake wameenda wapi.

Tinah alikaa akaona wee,kuna vitu siezi taka kwa hii nyumba,manguo za mamake. Alikusanya zote zote zote panty size 98 XXL, bra ngombe mzima na nguo zote akazichoma,hataki anything ya kumkumbuka mamake. All in all, pasina budi ,Brayson akitoroka, Sabina akitokomea,Tinah akiwa ameokolewa nami sina budi ila kuwakumbusha kipindi chetu cha Ayana, mwisho mwisho! Hadi kipindi kingine siku nyingine pahali ni papa hapa wakati ni huu huu kila siku tanzia Jumatatu hadi Ijumaa.

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS
1 From (Yearly) to 6000 per yer 500 Monthly CHARGES
2 6600-7000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 330
3 7000-7400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 420
4 7500-8400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 550
5 9000-9400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 620
6 9500-10400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 690
7 10500-11600 to 6000 per yer 500 Monthly KES 730
8 12000-12400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 780
9 13000-14400 to 6000 per yer 500 Monthly KES 850
10 15000-17500 to 6000 per yer 500 Monthly KES 900
11 18000-20000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,000
12 21000-24000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,150
13 25000-28000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,350
14 29000-32000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,550
15 33000-36000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 1,750
16 37000-40000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,000
17 41000-45000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 2,350
18 Above 46000 to 6000 per yer 500 Monthly KES 3,000
Whatsapp Only on 0759 325270

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nandwa Isaac. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category